Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Kumbuka nakupenda sana, na naumwa kwaajiri yako, tafadhari nihurumie am dying!.
Hebu kufa nipate taarifa nije.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka nakupenda sana, na naumwa kwaajiri yako, tafadhari nihurumie am dying!.
Hebu kufa nipate taarifa nije.
Natamani sana kufa tatizo, nakuhurumia utaumia sana kila ukifikiria Kuwa wewe ndiyo sababu, hautakuwa na furaha honey.
Mmmh ngoja nilale, nitakufikiria nikiamka okay?
Nimeolewa shemeji, sasa Rich Pol anataka kuniingiza tu matatani.
Halafu pia hapa nimepumzika sinyanyuki muda huu.
Mmmh ngoja nilale, nitakufikiria nikiamka okay?
Eheee bebii miss neddy nilikuwa nakusubiri kwa hamu tangu dada yangu amu na rafiki yake Arabela walipo wasilisha wasifu wangu kwako! Nimekubaliana na maelezo yao maana mawifi wakikupenda ujue uko sahihi.... karibu kwangu
Mi najiandaa kuimba "wifi twende nyumbani wifi twende nyumbani wifi wetu wa gharama wa gharamaaaaaa"
Kuna mtu nammiss sana, nawezaje kuishi hivi?
Hata nilivyofanya ni kwasababu nakumiss ujue. Najua uko busy sana sana ila ujue tu ni jinsi gani nakumiss my honey.
Shogaa yale majeneta mawili hivi yameishia wapi?
Kuna mtu nammiss sana, nawezaje kuishi hivi?
Hata nilivyofanya ni kwasababu nakumiss ujue. Najua uko busy sana sana ila ujue tu ni jinsi gani nakumiss my honey.
Am here honey! How are doing! Sorry nimechelewa kutoka leo.
Weee kwani nakumiss wewe? kaendelee kutongoza huko kila unayekutana naye.
Mimi nammiss mtu tofauti na kishanicall.
So kila la kheri.
Jamani sijui kama nitafika hata July nahisi nita RIP tu, nimemtongoza nani tena? Nakuapia you're the only one for me! Unataka nifanye nini ndiyo uamini nakupenda sweet heart??!.
Mimi ndio napenda upate mtu, sasa ukiwa unarusha ndoano halafu unarudi kwangu utachelewa kumpata shauri yako.
Halafu naumwa unajua
Mimi ndio napenda upate mtu, sasa ukiwa unarusha ndoano halafu unarudi kwangu utachelewa kumpata shauri yako.
Halafu naumwa unajua