Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Weee kwani nakumiss wewe? kaendelee kutongoza huko kila unayekutana naye.
Mimi nammiss mtu tofauti na kishanicall.
So kila la kheri.
sasa ndo nini kuweka hadharani siri yetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee kwani nakumiss wewe? kaendelee kutongoza huko kila unayekutana naye.
Mimi nammiss mtu tofauti na kishanicall.
So kila la kheri.
sasa ndo nini kuweka hadharani siri yetu?
Kuna mtu nammiss sana, nawezaje kuishi hivi?
Hata nilivyofanya ni kwasababu nakumiss ujue. Najua uko busy sana sana ila ujue tu ni jinsi gani nakumiss my honey.
Asante malkia wangu Bantu lady,nimekumiss pia barafu wangu!Ubusy ni wa muda tu queen wangu,mi ni wako peke yako!Nakupenda,mmmwaaaa!
Asante malkia wangu Bantu lady,nimekumiss pia barafu wangu!Ubusy ni wa muda tu queen wangu,mi ni wako peke yako!Nakupenda,mmmwaaaa!
sasa ndo nini kuweka hadharani siri yetu?
Hakuna kitu naogopa kama kupigwa kibuti na demu mbele ya kadamnasi.
Du mkuu mambo vipi? Umerudi lini?
Kumbe ndo maana. afu nani alikudanya nanilii nyekundu ikitoka kwenye naniliu ya kujojoa ni ugonjwa??
Hahahaaa kishanicall angalau nimepata tabasamu. Mpango wa jenereta nimelisimamisha kwanza, ilibaki kidogo nimuue kwa presha mume wangu. Hakuamini kama nimimi ndio nasema vile.
Uko powa shost wa miye? kimya sana luv
Leo hatuhemi humu mume mtu karudi.....Lol
Ndio umeshapigwa tayari.
Nakupenda pia mume wangu, umeona mabazazi wanavyonizengea? Nikikwambia kitu wewe wanafikiria ni wao. Nakupenda najua now ni huo ubusy tu, ukiisha nitaenjoy tena. Pia pole sana nakuonea huruma kipindi hiki na utapungua sana.
Niko poa shostito,ni vijimambo mambo tuuuu
Du mkuu mambo vipi? Umerudi lini?
Leo hatuhemi humu mume mtu karudi.....Lol
Mkuu Rich Pol nakuangalia ujue!Nipo mkuu,asante,nilitaka kujua ni akina nani niwamwagie tindikali wawe mfano kwa wengine!
Asante kipenzi changu,nawaona,dawa yao iko jikoni inachemka!