Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,874
- 5,685
hapana aliniambia kabisa kuwa yupo tayari. tena alikuwa anasubiri umtake tena ndiyo akukubalie.
kakupima muda mrefu sana.
we andaa kila kitu tu
Haya mkuu kesho naamka nae! Najua muda huu amelala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana aliniambia kabisa kuwa yupo tayari. tena alikuwa anasubiri umtake tena ndiyo akukubalie.
kakupima muda mrefu sana.
we andaa kila kitu tu
Haya mkuu kesho naamka nae! Najua muda huu amelala.
bado hajalala kuna sehemu nimemwona anapiga story na measkron
tena hata yeye alikuwa anamwambia raha ya kupendwa..
Honey Faith hebu uje sasa, tuweke mambo yawe rasmi hapa jamvini nakungoja hapa... :A S-frusty2:
usimpe nafasi kubwa ya kuringa.
base sana kwenye kumlainisha. :redface:
kiwatengu kiwatengu kiwatengu!!! Mbona hivyo wewe?? Lolbado hajalala kuna sehemu nimemwona anapiga story na measkron
tena hata yeye alikuwa anamwambia raha ya kupendwa..
Honey Faith hebu uje sasa, tuweke mambo yawe rasmi hapa jamvini nakungoja hapa... :A S-frusty2:
Duuh,huku naona nimepotea njia,narudi kinyume nyume mpaka KATIBA MPYA
Ha ha ha i saw you yesterday ulivyokuwa unamwambia Honey Faith kuwa kupendwa raha..
My hubby uko wapi? nataka kupasuka kwa hasira huku.
Nimekuelewa mkuu!