live update: Simba vs Telecom

Mchezo mmoja tu, ni rahisi sana kocha kupanga kikosi cha kumchanganya zaidi adui.
Hii siri ni strategy!! Unajua tukipoteza game ya 8/8. inakuwa game yetu ya 3 kupoteza?

Hatuko tayari kwa namna yoyote ile
🦁
 
Ila hii timu ya simba tusipokuwa makini tar 8 tutapigwa zaidi ya goal 3,hivi tu katimu hako kanaanza kutupia goli !! kwa yanga haitawezekana kuzirudisha goals kama wataanza kutufunga,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…