🦁Mchezo mmoja tu, ni rahisi sana kocha kupanga kikosi cha kumchanganya zaidi adui.
Hii siri ni strategy!! Unajua tukipoteza game ya 8/8. inakuwa game yetu ya 3 kupoteza?
Hatuko tayari kwa namna yoyote ile
Ndo utulie ukisubiri tarehe 8.Bado hamjasema!
Ni wivu tuHalafu kuna mbumbumbu humu wameshiba maharage na dona wanabeza ushindi wa Yanga huko bondeni.
Uyooo si jobe 😂😂🤣😅😅
Eee bwana eeeh mtani kakandwa tayari1-2 FT
Jobe atatambulishwa tarehe 4 na wazee wa kuzoa zoaUyooo si jobe 😂😂🤣😅😅
Vua batiki hilo utazame tena boss.Eee bwana eeeh mtani kakandwa tayari
Ila yanga wanazinguaga hapo tuJobe atatambulishwa tarehe 4 na wazee wa kuzoa zoa
Sijanunua bado mkuuVua batiki hilo utazame tena boss.
Jitahidi ufanane na wenzio boss.Sijanunua bado mkuu
Bado bado mkuu zije zile za 25Jitahidi ufanane na wenzio boss.
Hapa sasa si unaihujumu club boss? Manara atapata mshahara wapi?Bado bado mkuu zije zile za 25
Acha tu kk et ali kamwe kajiuzulu et linakuja hili dubwasha mimi binafs simpend aiseeHapa sasa si unaihujumu club boss? Manara atapata mshahara wapi?
Tulieni halafu mtatueleza mchezaji yupi kahongwa.Du, Au tar 8 mechi ichezwe kwa siri nini? Maana batiki batiki wakikutukuta hatupo sawa tutanyanyasika mno.
HahahaAcha tu kk et ali kamwe kajiuzulu et linakuja hili dubwasha mimi binafs simpend aisee