Live updates(8/8/2015): Simba vs FC Leopard

Live updates(8/8/2015): Simba vs FC Leopard

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
ni bonge la mtanange ambao utapigwa uwanja wa taifa,UKAWA NATIONAL STADIUM.
 
muwage mnatoa taarifa kamili znazoelewka mf tv gan,muda gan,uwanja gan etc
 
Kuna radio moja bahati mbaya inasikika Dar es salaam pekee, inaitwa City FM ndo wanatangaza.
 
mkuu binafsi sina shida na matokeo ila ningependa kujua wachezaji wapya ni akina nani?...

Wapya namskia Kiiza, Mgosi, Mwalyanzi, Kiungo mmoja ametoka sijui Malawi/Zimbabwe na Kipa naye sijasikia jina lake vizuri nadhani ni mpya.
 
mkuu binafsi sina shida na matokeo ila ningependa kujua wachezaji wapya ni akina nani?...

Kikosi cha Simba: Golikipa ni Vincent toka Ivory coast, Ramadhan Kessy, Mohamed Hussein Shabalala, Hassan Isihaka, Juuko Mursheed, kiungo mpya toka Zimbabwe, Hamis Ndemla, Peter Mwalyanzi, Ibrahim Ajib, Musa Mgosi na Hamis Kiiza.
 
Kuna radio moja bahati mbaya inasikika Dar es salaam pekee, inaitwa City FM ndo wanatangaza.

Kumbe hii radio inasikika sehemu nyingi zikiwemo Zanzibar, Mtwara, Morogoro na Dodoma.
 
Half time: sc villa wako pungufu baada ya mchezaji wao kupewa kadi nyekundu, bench la ufundi la villa wanamzonga refa
 
Ibrahim Ajib anatoka anaingia Simon Serunkuma; Mwinyi Kazimoto naye anaingia.
 
Back
Top Bottom