Live Updates: Azam FC v Mtibwa Sugar FC - 11/02/2015

Heli siye mikia hatuna shida na ubingwa so kimbizaneni wenyewe huko juu.Siye la muhimu tusishuke daraja tu basi.

Yah ... ubingwa mwakani! Tumetosheka na tulichovuna so far mwaka huu (Kombe la Mapinduzi; Mtani Jembe).
 
Yah ... ubingwa mwakani! Tumetosheka na tulichovuna so far mwaka huu (Kombe la Mapinduzi; Mtani Jembe).
Sure mkuu.Ya nn kuwavunja vijana wetu miguu kwa ubingwa wakati mishahara yenyewe ya kuungaunga?
mtani jembe inatutosha ngoja tujipange ubingwa mwakani inshaallah!
 
Kwani huu ni msimu wa ngapi hamjawahi hata kushika nafasi ya pili!!! Wewe jidanganye tu, Eti simba ndo atakuwa bingwa msimu huu!! Hivi wewe ni mzima kweli??

Kumbe kwenu ubingwa ni ushindi wa pili? Mna haki ya kufurahia kuongoza ligi. Simba mwaka jana na mwaka huu tumechukua vikombe na hela za kutosha.
 
Kumbe kwenu ubingwa ni ushindi wa pili? Mna haki ya kufurahia kuongoza ligi. Simba mwaka jana na mwaka huu tumechukua vikombe na hela za kutosha.

Halafu Siao mikia fc tumeridhika sana na nafasi tuliyopo ya 8 ubingwa waachieni YANGA na azam na zingine zinazopenda muhimu kwetu sisi tusishuke daraja tu
 
Halafu Siao mikia fc tumeridhika sana na nafasi tuliyopo ya 8 ubingwa waachieni YANGA na azam na zingine zinazopenda muhimu kwetu sisi tusishuke daraja tu

Major correction:
Mikia wako nafasi ya 9.
 
kuna harufu nyingi nimeziona leo

Ame ALLY Aliyecheza dhidi ya Yanga siye huyu wa leo

Mgosi kaanzishwa leo na kufanya yake makusudi
 
kudos lads for made my day
 
ndetichia wamekuibua, nilikuwepo uwanjani, Mtibwa wametepeta sana, mwishoni mwa mchezo nilizungumza faragha na mwalimu Mecky na akakubalian nami kwamba vijana wake walikuwa mechanical sana mechi za kwanza hivyo dhahiri shari wamechoka sana na ukizingatia waliunga Mapinduzi na matunzo yao si kama ya Azam etc
 

Harufu nzuri ilimtoa nyoka pangoni, kumbe ndetichia yupo, hofu na mashaka ni kwa Kitoabu tu, sijui kama yuko hai!
 
Last edited by a moderator:
Tulia kama unanyolewa, endeleeni kujificha huku mambo bado magumu. Mmeona mwenzenu leo alichofanyiwa
Najua kimewaumiza mioyo lakini ndiyo hivyo Azam FC wameiondoa Yanga kwa kishindo!!
 
kwa mara ya mwisho Yanga kufungwa na simba katika ligi ilikuwa mwaka gani?
Swali lako halina tofauti na demu anayejisifu eti hakumbuki mara ya mwisho kubakwa vichakani wakati kila siku anapigwa mtungo Guest chafu.

Imefikia hatua Yanga hamkumbuki lini Simba iliwafunga kwenye ligi kwani mnapofukuza makocha mnakuwa mmefanywa nini?
 
usisumbuke na hao mambumbumbu watakuumiza kichwa tu na mawazo mgando yao..rage aliwajulia sana
Mambumbumbu ni wale wanaotofautisha kupigwa mshedede kichakani na kupigwa mshedede chumbani, wanashindwa kujua kote huko lazima kyupi ivuliwe na kote mwanamke anapata mimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…