Live Updates: Droo ya Robo Fainali ya UCL, Nyon Uswizi, leo Ijumaa 20.03.2015

Live Updates: Droo ya Robo Fainali ya UCL, Nyon Uswizi, leo Ijumaa 20.03.2015

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Wanabodi,
Leo ndio ile siku iliyokuwa inasubiriwa ambapo droo ya robo fainali ya Uefa Champions League (UCL) inafanyika pale Nyon Uswizi.

Droo inatarajiwa kuanza saa 8 mchana kwa masaa ya hapa nyumbani Tanzania, hivyo karibuni sana msicheze mbali.

Kuelekea kwenye droo hapo baadae unadhani timu zipi zinaweza kukutana kwenye hatua hiyo ya robo.

Timu zilizopo ni;
Barcelona (Spain)
Real Madrid (Spain)
Atletico Madrid (Spain)
PSG (France)
As Monaco (France)
Bayern Munich (Germany)
Juventus (Italy)
Porto (Portugal)

cc: Amavubi Mourinho Nzi IFRS TUPACified mjukuum made ALEYN beefinjector LORDVILLE Nyani Ngabu The Boss RRONDO SAUTI YAKO EMT Belo Ntunzu Mbu everlenk Tyta

10418414_941813165865146_2933347581083975229_n.jpg
 
Nina hamu ya kujua huyo Messi atakutana na nani. Naomba akutane na bayern tuone kama Guardiola atafumba tena macho.
 
Real Madrid vs Juventus
Bayern Munchen vs Barca
Atleti vs Monaco
Porto vs PSG.

My wishes
 
Natamani Barca na Bayern zikutane fainali...
anaeweza mzuia Barca ni Madrid au Bayern
the rest ni wachumba tu kwa Barca
 
Nina hamu ya kujua huyo Messi atakutana na nani. Naomba akutane na bayern tuone kama Guardiola atafumba tena macho.

Barca akikutana na Bayern unaona nani atashinda?
 
my dream draw...set 1
Barcelona vs. Bayern Munich
Real Madrid vs. Porto
Juventus vs. AS Monaco
Paris Saint-Germain vs. Atletico Madrid

my dream draw set 2
Barcelona vs. Paris Saint-Germain
Atletico Madrid vs. Juventus
AS Monaco vs. Porto
Real Madrid vs. Bayern Munich

my dream draw set 3
Real Madrid vs. Atletico Madrid
Paris Saint-Germain vs. AS Monaco
Barcelona vs. Bayern Munich
Porto vs. Juventus
 
my dream draw...set 1
Barcelona vs. Bayern Munich
Real Madrid vs. Porto
Juventus vs. AS Monaco
Paris Saint-Germain vs. Atletico Madrid

my dream draw set 2
Barcelona vs. Paris Saint-Germain
Atletico Madrid vs. Juventus
AS Monaco vs. Porto
Real Madrid vs. Bayern Munich

my dream draw set 3
Real Madrid vs. Atletico Madrid
Paris Saint-Germain vs. AS Monaco
Barcelona vs. Bayern Munich
Porto vs. Juventus

nakuunga mkono kwenye set ya 3...timu mbili za Spain zitakutana robo
 
Natamani Barca na Bayern zikutane fainali...
anaeweza mzuia Barca ni Madrid au Bayern
the rest ni wachumba tu kwa Barca

Usiwachukulie Porto poa kabisa. Wametimia kitimu, na barca ya siku hizi inategemea zaidi mood ya Messi. Tusubiri lakini
 
Barca akikutana na Bayern unaona nani atashinda?

Mkuu hawa jamaa wanacheza mpira wa aina moja. Tutakachofaidika nao ni mpira wa burudani. Ila advantage ya munichen wana ngome ngumu mnooo, jambo litakalowapa shida baca.
 
Juv vs Barc

Porto vs Bayerb

Madrd vs monaco

PSG vs atltco
 
Rekebisha thread Mkuu, mbona hakuna timu za England?
 

Participants are listed on the big screen ahead of the UEFA Champions League quarter-final draw in Nyon

2225294_w1.jpg
 
waingereza na makelele yao yote hawana hata ka-timu kamoja!wenzao spain wametoa 3
 
Barca akikutana na Bayern unaona nani atashinda?

Bayern anaweza kushinda. Tatizo Barcelona tangu astaafu Carles Puyor beki yao iko shaky sana sioni watazuiaje muziki wa Arjen Robben, Thomas Muller and Co. Halafu Barca hawana kipa mzuri kihivyo. Pia Bayern wana wachezaji wanaoweza kwenda ng'ado kwa ng'ado na Barca kwenye midfield ambako Barca ndio huwa wanaanzishia balaa lao.
 
Back
Top Bottom