Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Wanabodi,
Leo ndio ile siku iliyokuwa inasubiriwa ambapo droo ya robo fainali ya Uefa Champions League (UCL) inafanyika pale Nyon Uswizi.
Droo inatarajiwa kuanza saa 8 mchana kwa masaa ya hapa nyumbani Tanzania, hivyo karibuni sana msicheze mbali.
Kuelekea kwenye droo hapo baadae unadhani timu zipi zinaweza kukutana kwenye hatua hiyo ya robo.
Timu zilizopo ni;
Barcelona (Spain)
Real Madrid (Spain)
Atletico Madrid (Spain)
PSG (France)
As Monaco (France)
Bayern Munich (Germany)
Juventus (Italy)
Porto (Portugal)
cc: Amavubi Mourinho Nzi IFRS TUPACified mjukuum made ALEYN beefinjector LORDVILLE Nyani Ngabu The Boss RRONDO SAUTI YAKO EMT Belo Ntunzu Mbu everlenk Tyta
Leo ndio ile siku iliyokuwa inasubiriwa ambapo droo ya robo fainali ya Uefa Champions League (UCL) inafanyika pale Nyon Uswizi.
Droo inatarajiwa kuanza saa 8 mchana kwa masaa ya hapa nyumbani Tanzania, hivyo karibuni sana msicheze mbali.
Kuelekea kwenye droo hapo baadae unadhani timu zipi zinaweza kukutana kwenye hatua hiyo ya robo.
Timu zilizopo ni;
Barcelona (Spain)
Real Madrid (Spain)
Atletico Madrid (Spain)
PSG (France)
As Monaco (France)
Bayern Munich (Germany)
Juventus (Italy)
Porto (Portugal)
cc: Amavubi Mourinho Nzi IFRS TUPACified mjukuum made ALEYN beefinjector LORDVILLE Nyani Ngabu The Boss RRONDO SAUTI YAKO EMT Belo Ntunzu Mbu everlenk Tyta