Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba unitolee mfano wa beki kijana mwenye kasi katika ligi ya VPLMzee Wawa kakutana na vijana wenye Kasi wanapita makwapani na kumtungua manura. Simba wanatakiwa wafahamu mashindano wanayo cheza Kuna vijana wanakasi,kitendo Cha ukuta wa Simba katikati kucheza wazee ni hatari ya kujitakia.
Kwenye mechi zipi umelinganisha?Ukiangalia pressing ya wachezaji wa Yanga,na ukiangalia wachezaji wa Simba wanavyocheza ni aibu sana.
Mechi zipi zozote zile,uchezaji wa Simba ndio huu huu timu ipo slow huwezi kufananisha na Yanga.Kwenye mechi zipi umelinganisha?
Kwa hiyo uchezaji wa kasi ndio ulio bora zaidi?Mechi zipi zozote zile,uchezaji wa Simba ndio huu huu timu ipo slow huwezi kufananisha na Yanga.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Namungo tunaongoza moja
Sven ameishiwa mbinu.Simba wako slow sana.
Timu ipo slow sana kusema kweli, wanakera sana hawa.Hii simba iishie hapa hapa,itatia aibu huko mbele
Ahly alikaa lakini si mara mojawakikutana na al ahly huko mbeleni ni mwendo wa tano tano tu
Kima ni jamii ya manyani, usitake kuhamishia jina la Yanga upande mwingineKuna wakimatifa (Yanga) alafu kuna KIMA wa taifa(simba a.k.a mbumbumbu fc
Jifariji na kichapo kiinachoendelea sasa uko kwenye ardhi ya babu hayati MugabeKima ni jamii ya manyani, usitake kuhamishia jina la Yanga upande mwingine