... Yule aliyeanzisha huu uzi mbona ha-post tena chochote???Hii simba iishie hapa hapa,itatia aibu huko mbele
... Au ndo mshaanza kuingia mitini kimya kimya baada ya kuona maji yamezidi unga???... Yule aliyeanzisha huu uzi mbona ha-post tena chochote???
👌👌👌Namungo 2.
Timu imefia kwa kuweka striker mmojaYani mwalimu ndio kaiua timu kabisa.mzamiru hana faida timu kati haina nguvu Chama kazidiwa.
Matokeo tunayoHilo dua LA kuku(UTO). Kamwe haliwezi kumpata mwewe(SimbA.)
Simba yupo nyuma bao moja - dk ya 70 kipindi cha piliNgapi ngapi huko jamani
Sven mvurugaji.Timu imefia kwa kuweka striker mmoja
Hii mechi Simba akipoteza basi kocha (Sven) ajiandae kubeba lawama.