..issue sio kuteseka...nimegundua huwa mna tabia ya kudharau sn timu pinzani mnazocheza nazo. Mnaingia na matokeo mfukoni then mnaenda kushangazwa. Mkumbuke huko leo refa sio Elly Sasii, ohoo.....Mkuu kwani, unateseka ?!
Ha ha ha, karibu chamani...issue sio kuteseka...nimegundua huwa mna tabia ya kudharau sn timu pinzani mnazocheza nazo. Mnaingia na matokeo mfukoni then mnaenda kushangazwa. Mkumbuke huko leo refa sio Elly Sasii, ohoo.....
Leo tutakushangaza...issue sio kuteseka...nimegundua huwa mna tabia ya kudharau sn timu pinzani mnazocheza nazo. Mnaingia na matokeo mfukoni then mnaenda kushangazwa. Mkumbuke huko leo refa sio Elly Sasii, ohoo.....
Acha tumfurahishe.Achana na huyu mbwiga.
...msije kushangazwa nyie, nna uhakika baada ya game yenu ya Zimbabwe leo, uzi huu utakuwa dormant sana manake mtakuwa na majonzi kufuatia kichapo from platinum fcLeo tutakushangaza.
Kule amna ishu,ni uzwazwa tu kejeli na matusi,akuna jipya.Long time time no see you, unajua Jukwaa LA Siasa nshakimbia mie.
Mechi za mtoano huwa hakuna pointsLeo mnyama anachukua point tatu kiulaini mno
HaiwezekaniMpigwe tu akili ziwakae sawa.
Pia tukishinda, tunakuomba usitutenge mkuu....msije kushangazwa nyie, nna uhakika baada ya game yenu ya Zimbabwe leo, uzi huu utakuwa dormant sana manake mtakuwa na majonzi kufuatia kichapo from platinum fc
Ameeen
Utopolo mbona unatesekaaa?? Hata wewe haujakatazwa kuipamba utopolo la Dela.... Ujue kuiondosha timu nyingine kwa aibu, haiwezi kuwa kwa kigoli kimoja (cha kubahatisha) ilitakiwa iwe mvua ya magoli ndo kuiondoa kwa aibu ingeleta maana nzuri.. Anyways, jipeni moyo sanaaaa. Timu yenu ni ya kawaida mno sijui tuu huwa mnatoa wapi guts za kuji-boast namna hiyo
Mkuu Ondoa Shaka.Kule amna ishu,ni uzwazwa tu kejeli na matusi,akuna jipya.
Apdate muhimu sana kwenye hii mechi mkuu.
Kweli tupu,Kule amna ishu,ni uzwazwa tu kejeli na matusi,akuna jipya.
Apdate muhimu sana kwenye hii mechi mkuu.