Live Updates: FC Platinum vs Simba SC, Uwanja wa Taifa - Zimbabwe

Nifahamishe zinakuwaje
Mkuu hakuna mechi isiyokuwa na points.
Mfano Simba akifungwa Leo, platinum atakuwa na point 3, simba atakuwa na point 0. Mechi ya marudiano ikatokea simba kashinda simba nae atakuwa na point 3. Hivo wote watakuwa na point 3 kwa 3. Itabidi iangaliwe goal difference, vivo hivo mpaka apatikane anaye paswa kufuzu.
 
...mkuu gladiator....points hazihesabiwi kwa stage hii, mpaka stage ya makundi. Kwa sasa wanaangalia jumla ya magoli tuu (aggregates) ya nyumbani na ugenini, ndo yanaamua nani anasonga mbele
 
...mkuu gladiator....points hazihesabiwi kwa stage hii, mpaka stage ya makundi. Kwa sasa wanaangalia jumla ya magoli tuu (aggregates) ya nyumbani na ugenini, ndo yanaamua nani anasonga mbele
Nikuulize ?!
 
Jambo jema ni kwamba Simba hata ikitolewa na Platnum, bado itapangiwa timu ya kucheza nayo kule kombe la CAF - Shirikisho. Hivyo bado haina cha kupoteza.
 
Jambo jema ni kwamba Simba hata ikitolewa na Platnum, bado itapangiwa timu ya kucheza nayo kule kombe la CAF - Shirikisho hivyo bado haina cha kupoteza.
Ni kweli , hii itatupa utulivu zaidi.
 
Jambo jema ni kwamba Simba hata ikitolewa na Platnum, bado itapangiwa timu ya kucheza nayo kule kombe la CAF - Shirikisho hivyo bado haina cha kupoteza.
Ila hatutaki tufike huko. AmeenA.
 
Game ya pili itachezwa Kwa Mkapa, Sio Rahisi kwa Platnum kuitoa Simba. Kamati ya roho mbaya inanafasi ya kumaliza mchezo, kitawakuta kilichowakuta AS Vita
At least Leo tudraw, au kushinda.
 
Naona mkuu kama vile ulikuwa na kocha[emoji851][emoji851]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…