he he he....JF HQ vs JF WING Dar.....nani atafunika....?....haloooo haloooo.....
Mie nipo around maeneo haya, nakata majani ya kulisha mifugo nikaoge, nivae nguo zangu za sikukuu then niibuke hapo
Mie nipo around maeneo haya, nakata majani ya kulisha mifugo nikaoge, nivae nguo zangu za sikukuu then niibuke hapo
Hivi jf hq imehamia Arusha????
Baby, hata kutaarifiana?!
sisi huwa si wenye maneno mengi.....vitendo tu ndio hututambulisha........
jamani wangu,me nilijua uko kule siasani.
Baby utakuja?
Niko Moshi baby nashughulikia mradi flani. Umechelewa kunijulisha wangu.
Jamani, take care baby wangu!
jamani wangu,me nilijua uko kule siasani.
Baby utakuja?