marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,656
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani jamani huyo Madame B ndo nani mbona simfahamu?. hata sijawahi muona!.
Mwenyewe leo nataka nipate demu pale mlimani city. kama sio Ciello sijui nani. Usitake leo nikakosa kimwana bure akidhani nipo na huyo ulomsema. Usiniharibie soko mkuu. Nicas Mtei upo dar leo? mia
Tena na Mbeleko la Bigjii ha ha ha ha.
BTW mamito mzima?
hahaha umedandia gari kwa mbele? Subiri geshi ra wapiganaji rije
kwani jamani huyo Madame B ndo nani mbona simfahamu?. hata sijawahi muona!.
Mwenyewe leo nataka nipate demu pale mlimani city. kama sio Ciello sijui nani. Usitake leo nikakosa kimwana bure akidhani nipo na huyo ulomsema. Usiniharibie soko mkuu. Nicas Mtei upo dar leo? mia
Baby basi naomba nitajie Password ya ATM Card yako.
Nakupendajeee.
Acha wenge wewe.
Zenji umerudi au unapiga blah blah?
Yani mamito,nimekupa kibali kwa %100.
Mh,ukaguzi tena jamani?
Ule unafaa chumbani marejesho.
Ila kama Asprin asipokuwepo, Nicas Mtei atashika usukani.
wapiganaji? Sio wapiganaji hata warukaji sijali kikubwa niko na baby wangu.
hiyo tu sweety? Ngoja nikuPM kina Preta wasijenisomea ramani.
we una akili sana. Ulisoma na Mulugo?
sawa mpenzi.
Afu unakumbuka nilikwambia kuwa nadaiwa kodi ya nyumba?
Ntamaliza nikirudi Dar baby, weye tena!!!