CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Hivi we mtoto huwa unalalaga saa ngapi?
babu jana ckulala eti... melala leo na ndo naamka... sasa kama nimelala by 0250hrs hiyo c naihesabu kama leo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we mtoto huwa unalalaga saa ngapi?
Mungu anipe nini mimi? Madame B alifichwa machi machi g house
asalam aleykum! ile whisky imefanya maini yangu hayakipi rangi choo kuanzia jana! Mtambuzi utatuua!
asalam aleykum! ile whisky imefanya maini yangu hayakipi rangi choo kuanzia jana! Mtambuzi utatuua!
Morning my love, miss you too.hubby, morning! i have missed u dearly, lol!
Unajua nshaanza kukumisi? Hebu do the needful basi unitendee haki.babu jana ckulala eti... melala leo na ndo naamka... sasa kama nimelala by 0250hrs hiyo c naihesabu kama leo???
mbona tulikwenda baadhi yetu na kujipa raha wenyewe??longo longos super sound.......mkuje hapa mueleze masahibu gani yaliwakumba.........kwa nini hamkutokea Brajec......
kinywaji changu wakijua, lipo mwenzangu lile likitu! lol, laweza ua mtu, vipi wewe lilikufikisha hm??Morning my love, miss you too.
Hebu nambie ule mzigo ushaumaliza au nije tusaidiane?
ili nife??? thubutu, nimebakiza kidunchuuuuu!hvi ile whisky uliimaliza?
wallahi hata jina ssijui, ngoja leo nikirudi niangalie jinale!teh teh pole sana msmito.... hv inaitwaje vile????
machi machi ipi?? ya sinza au ya kinondoni, pembeni ya hunters??Guest gani ile?
Kunguni kibao.
mbona tulikwenda baadhi yetu na kujipa raha wenyewe??
Hahahahaha.......... kama kawa. Makitu yakiwa kumkichwa skills za kuendesha bajaji zinaongezeka....:majani7:kinywaji changu wakijua, lipo mwenzangu lile likitu! lol, laweza ua mtu, vipi wewe lilikufikisha hm??
Hahahahaha.......... kama kawa. Makitu yakiwa kumkichwa skills za kuendesha bajaji zinaongezeka....:majani7:
longo longos super sound.......mkuje hapa mueleze masahibu gani yaliwakumba.........kwa nini hamkutokea Brajec......
Toka kwenye mazingira hayo ya joto na mvuke harakaShould i commit suiced BT?
Let me cry first