Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Tukutane sie wawili basi hapo Brajeck...kesho ntakusubiri....
Hahaha sawa shemeji kuna mambo ya kuweka sawa ya kifamilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane sie wawili basi hapo Brajeck...kesho ntakusubiri....
Mkuu ndio naamka, jana nilipitia mahali flani kulikuwa na KIGODORO, Duh, ahsante kwa lunch maana nilikuwa naubao mbayaaaa...
halafu hyo binti charminglady mie nilimjua tangu awali na nikawaambia lakini mkanipuuza... chezea Telepathy nyie, na yume mkuu aliyekyja na ODM Mzee Asprin nilimtambulisha kwenu akanikanyaga mguuni kunizima, Je mlimtambuaaa, au Brandy ilishawapanda vichwani?
Niulizeni niwakumbushe, alikuwa ni mtu muhimu kumjua katika eneo lile........ANAHUSIKA SANA NA JF
Sad to have missed the day aisee...nway...there is always a nextym.
Swali kwa Mtambuzi na snowhite: kwakuwa hiyo jana hapakua na msiba, je, ni kisingizio gani mlitumia kwenda kupiga cha fasta-fasta? cacico dadangu unasalimiwa na mashemeji zako. Madame B natumai hukwenda huko na kina lara 1 wale wa siku ile.
Bro Nicas Mtei, mzima lakini? Unasalimiwa na shemeji yako tumepiga viduku sana nmechoka kesho siendi kwenye ujenzi wa taifa...natumai jana ulijipatia 'house girl'
babu unalo.... najua saiv imebanwa hadi naniliu... mie ndo kwanza nattafta pa kwenda... hebu nambie wapi kuzuri zuro?????
babu unalo.... najua saiv imebanwa hadi naniliu... mie ndo kwanza nattafta pa kwenda... hebu nambie wapi kuzuri zuro?????
Hivi we mtoto huwa unalalaga saa ngapi?babu unalo.... najua saiv imebanwa hadi naniliu... mie ndo kwanza nattafta pa kwenda... hebu nambie wapi kuzuri zuro?????
Hahahahaha........ Atawashangazeni siku moja....hahaha. Ila charminglady alijikausha kchz. Nlishakuckia ukimtaja.
Yule alyekuwa na Asprin si Baba V?
Popote mlipo King'asti na Cantalisia. mkuje pande hii, baba yenu Mtakatifu Mtambuzi anazushiwa ugoni wa kifataki.Duh, na Binti yangu tena....!
Kunahaja ya kufanya Introduction aisee.............
Hebu, ODM Mzee Asprin njoo pande hizi uwatambulishe mabinti zangu, kabla sijatukanishwa humu.....Loo
hubby, morning! i have missed u dearly, lol!Hahahahaha........ Atawashangazeni siku moja....
Popote mlipo King'asti na Cantalisia. mkuje pande hii, baba yenu Mtakatifu Mtambuzi anazushiwa ugoni wa kifataki.