Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

Usihofu shem. Ila [MENTION=75985]Arushaone m'tata!? Wewe, Preta, Blaki Womani, na jana kamwona flower akapagawa! Mbona kazi mnayo!


Filipo umeanza lini kuingia kwenye hilo kundi la wanafki? Madame B usidanganyike mpenzi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndio naamka, jana nilipitia mahali flani kulikuwa na KIGODORO, Duh, ahsante kwa lunch maana nilikuwa naubao mbayaaaa...

halafu hyo binti charminglady mie nilimjua tangu awali na nikawaambia lakini mkanipuuza... chezea Telepathy nyie, na yume mkuu aliyekyja na ODM Mzee Asprin nilimtambulisha kwenu akanikanyaga mguuni kunizima, Je mlimtambuaaa, au Brandy ilishawapanda vichwani?

Niulizeni niwakumbushe, alikuwa ni mtu muhimu kumjua katika eneo lile........ANAHUSIKA SANA NA JF
Eti Mtambuzi leo ni jumangapi? Uko na charminglady hapo au mlevi cacico?
 
Last edited by a moderator:
Sad to have missed the day aisee...nway...there is always a nextym.
Swali kwa Mtambuzi na snowhite: kwakuwa hiyo jana hapakua na msiba, je, ni kisingizio gani mlitumia kwenda kupiga cha fasta-fasta? cacico dadangu unasalimiwa na mashemeji zako. Madame B natumai hukwenda huko na kina lara 1 wale wa siku ile.
Bro Nicas Mtei, mzima lakini? Unasalimiwa na shemeji yako tumepiga viduku sana nmechoka kesho siendi kwenye ujenzi wa taifa...natumai jana ulijipatia 'house girl'
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom