Oyaaa wengine tumesahau mawani zetu bana....
wapiganaji? Sio wapiganaji hata warukaji sijali kikubwa niko na baby wangu.
Hapa kuna nini?
Jamani kwani Rutta aliniwowa?
We mwache asogelee visivyomhusu..... atachezea chamoto.Kasi uliyoingia nayo mjini angalia usijejikuta unapitiliya hata kwenu
sawa mpenzi.
Afu unakumbuka nilikwambia kuwa nadaiwa kodi ya nyumba?
yeah... ruta si ni mumeo wa ndowa?????
Kipimo cha mapenzi kimeanza kusoma !!
Bado una hangover za kwenye Ebss nini!? ndo umeamka!? njoo brajec
Nani akuwekee kauzibe wakati tunakuona unachomfanyia huyo mkaka? Hivi tabia mbaya utaacha lini?Aaghhrrrr.....!!!
Mbona mnaniletea kauzibe.
Aaghhrrrr.....!!!
Mbona mnaniletea kauzibe.
Shostiii,
Kweli tena niko Rocky City.