Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
charminglady dunia ina mambo hii, kweli ukistaajabu ya Maige utaona ya Mulugo!
Najua halii hii itatokea kwa baadh ya memberz.
Najua halii hii itatokea kwa baadh ya memberz.
nimepitia hapa kwanza kabla cjaja brajec. Karibuni sana
Kasi uliyoingia nayo mjini angalia usijejikuta unapitiliya hata kwenu
mh... ngooja niwatafute watu wa first aid wawe tayari tayari
We mwache asogelee visivyomhusu..... atachezea chamoto.
Na mtu mwenyewe namjua maana ndo zake kudondosha gari. Natamani nimtaje lakini naogopa kutukanwa mie..... Si ushamjua??
Shuhudia mwenyewe matusi yake
Waambie kabisa na mabinti wasiwe na hofu, Ukaguzi wa kina utakuwepo pia. Babu mkaguzi mkuu ntakuja na vipimo vyote vya ukaguzi.Huduma ya kwanza watakuwepo. Usiogope
Nani akuwekee kauzibe wakati tunakuona unachomfanyia huyo mkaka? Hivi tabia mbaya utaacha lini?
Waambie kabisa na mabinti wasiwe na hofu, Ukaguzi wa kina utakuwepo pia. Babu mkaguzi mkuu ntakuja na vipimo vyote vya ukaguzi.