Niko Moshi baby nashughulikia mradi flani. Umechelewa kunijulisha wangu.
Jamani, take care baby wangu!
Hee!......:shut-mouth:
Oooohhh nooo....!!!!
Nitakulindia mali yako mpenzi,japo kuna mifataki ya JF.
yalah! Yashakuwa haya?
Oooohhh nooo....!!!!
Nitakulindia mali yako mpenzi,japo kuna mifataki ya JF.
nimeona....JF ukiwa na wivu utajibeba........
hahahahaha. figganigga kapgwa chini?
Usitake kunikosanisha na Chilli wangu.
Baby 'C' come 2me.
Huyu figganigga ndio nani mpenzi Madame B?
nimeona....JF ukiwa na wivu utajibeba........
Huyu figganigga ndio nani mpenzi Madame B?
Ni yule mtoto wa Mamkubwa Upepo wa Buguruni Malapa.
Ni Shemejio.
hahahahaha. figganigga kapgwa chini?
Thanx baby, sijui kwa nini nakutrust hivyo!