Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

nipo Dar tayar figganigga. We utakuwepo Brajec?

mkuu napenda marafiki wakweli, dar upo pande gani? wiki nzima nmeshinda kitaa ungekuwepo ningekuona. simu yako yenyewe inapatikana kwa machale. Usihofu lakini, kama upo leo tutaonana hata usipo niona utamuona madame. mia
 
Last edited by a moderator:
mkuu napenda marafiki wakweli, dar upo pande gani? wiki nzima nmeshinda kitaa ungekuwepo ningekuona. simu yako yenyewe inapatikana kwa machale. Usihofu lakini, kama upo leo tutaonana hata usipo niona utamuona madame. mia

upo kitaa cha ushuani? Mi ntakuwepo huko kesho
 
mkuu napenda marafiki wakweli, dar upo pande gani? wiki nzima nmeshinda kitaa ungekuwepo ningekuona. simu yako yenyewe inapatikana kwa machale. Usihofu lakini, kama upo leo tutaonana hata usipo niona utamuona madame. mia

Hapo kwenye blue hujui kama Ni mgoni?
Hapo bold,hata kama ana inshu za kung'oa mlupo,nitamsaidiaje?
 
Nicas Mtei umesahau kwamba jamaa alifaulu peke yake kwenye Saint Kayumba?
Madam B atakuwa alisoma special school ndio maana ameweza kusuggest jambo poa sana!!!

Mulugo pia alsoma special school. Madame B huwa anaongea mashudu mara kwa mara bt leo amejtahd sana kuongea jambo la maana.
 
Last edited by a moderator:
Madame B nitake radhi. Unataka nami ninene kwa lugha?

....Unamfundisha samaki kupumua wakati mapezi ndo kiungo chake....!!!
Nena babu weee,unamtisha nani?
Juso ka Behewa la Mwakyembe.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…