Namshangaa Nicas Mtei, anawawazia wenzie mabaya.
Tutamfanya kitoweo kule Brajec.
Ruttashobolwa upo wapi? Nimekuja ofisini kwako ku brush viatu bt cjakukuta. Why?
ndio maana anajifanya shehe yahya sio..
itakuwa ime koraputi compyuta yake..
Dalili znaonesha waziwazi
Ruttashobolwa upo wapi? Nimekuja ofisini kwako ku brush viatu bt cjakukuta. Why?
We dogo nani shemeji yako?
Nothing goes for nothing
nimepitia hapa kwanza kabla cjaja brajec. Karibuni sana
huu uchumba umepitia kwenye kamati husika? na lini umepewa talaka na Ruttashobolwa?????Shosti angu charminglady hata wewe jamani wataka nivunjia uchumba wangu mbichi na Chilli?
SIAMINI, OMG!
Jamani Mwana Jf aliepo Mwanza tutafutane.
Shen Jdgment whr r u!
Natamani nikuone!
huu uchumba umepitia kwenye kamati husika? na lini umepewa talaka na Ruttashobolwa?????
Hahahahahahahahaha
daaaaah sijui kwa nini ulipiga picha Nicas daa napata wateja wengi sana kupitia hilo bango!
Khaaa! Nisiwepo tena? Pamoja na cacico kunitelekeza na kabebi ketu, mie sielewi somo. Am on my way baby.