Live Updates:Mbeya City vs Prison

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
kwa mara nyingine Mji wa Mbeya umekuwa busy na shangwe nyingi sana,hii ni kawaida pale zinapokutana timu hizi mbili kutoka jiji la mbeya.Mashabiki wengi sana wanaipa sapoti timu ya Mbeya City na wachache sana wakiiunga mkongo timu ya Tanzania Prisons.

Tunatarajia mpambano wa kukata na shoka na wenye ushindani.Nipo ndani ya Sokoine Stadium nitaleta updates kila pale nitakavyoweza

===============
===============

Matokeo ya Mwisho: Mbeya City 2 - 2 Prisons
 
nakapanya, na wengineo mliopo mbeya tupeni taarifa, nini kinaendelea hapo sokoine, vipi mwamko na shangwe za mashabiki hapo?tuendeleee!
 
watu ni wengi sana na foleni za kuingia uwanjani ni ndefu sana,shangwe kila kona,wake kwa waume,watoto wote wanatiririka uwanjani
 
ndani ya sokoine na kila kitu kitakuwa poa
 
watu ni wengi sana na foleni za kuingia uwanjani ni ndefu sana,shangwe kila kona,wake kwa waume,watoto wote wanatiririka uwanjani

Nakapanya leo hujatenda haki ulikuwa wapi kuleta huu uzi mazee, mwezio sipo mbeya muhas inabana nw nipo shule hebu endelea, washabiki wamejigawaje leo hapo?
 
Nakapanya leo hujatenda haki ulikuwa wapi kuleta huu uzi mazee, mwezio sipo mbeya muhas inabana nw nipo shule hebu endelea, washabiki wamejigawaje leo hapo?

nilikuwa busy kidogo mkuu,mashabiki wamejihawa kama kawida ila upande wa Mbeya city ambapo m npo ndio kumechangamka ile mbaya nadhani unaijua atmosphere ya uwanja wa sokoine unavyokuwa siku zikikutana timu hizi mbili
 
Timu ndio zinaingia uwanjani.Kama kawaida Mbeya City ndani ya uzi wao wa zambarau na Prison ndani ya jezi zao nyeupe na bukta za kijani
 
timu zimekwisha kaguliwa na mpira umeanza
 
timu zimekwisha kaguliwa na mpira umeanza

Naomba tu mvua isinyeshe hapo leo, ili mpate burudani ya kutosha, najua shangwe za mbeya city, ngoja tuone nani anaangushwa hapo, endelea kaka!
 
pitch ya uwanja wa sokoine ni mbovu sana
 
mchezaji wa Prison anatoka,nafasi yake inachukuliwa na mchezaji mwingine
 
mchezaji wa prison anapata kadi ya njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…