Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

Mashabiki wa Simba watakuwa wamefurahi kweli Simba kutajwa na commentator.
 
Waarabu huwa wanatuzidi mbinu,Timu za bongo huwa tunafungwa (dakika 15 za mwanzo na 15 za mwisho),tukiweza kukaza huo muda tutawaweza waarabu
 
Balantanda,
Vipi Yanga mbona mnacheza mechi hii kama vile mmeshashinda?

Sioni kule mbele mkisababisha hatari yoyote kwa waarabu. Hakuna passion yoyote wachezaji wa Yanga kuonesha hamu, nia wala uwezo wa kufunga magoli mengi ugenini!

Je mechi zote mlizocheza na waarabu bado hamna confidence!?
 
Naona Yanga wamesikia maswali yetu watazamaji wanajaribu kupanda
 
yeah, msuva atoke, najaribu kulala usingizi sipati, dah! YANGA TUPE RAHA WATZ
 
Hawa si ndo walikula viwavi kipindi kile cha njaa? Utakuwa umesababishwa na viwavi huo ugonjwa!!
Hivi nyie vipi sie tunashida ya ushindi huko algeria nyie mnazungumza viwavi!Wamchangani nini nyie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…