Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
ILA hawa wapumbav kwa kujiangusha hawajambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanachotafuta wao ni matokeo..Dk88:Bejaia1-0Yanga.
Halafu mjue kuna wachezaji wao watatu wamezuiliwa mechi hii...
Kama na sisi tulivowakosa Juma Abdul na Captain NadirHalafu mjue kuna wachezaji wao watatu wamezuiliwa mechi hii...
Nashangilia tu...Kwa hiyo unataka kusemaje wewe Mbumbumbu?
Itabidi wapewe kazi ya kushangilia wageni..TP Mazembe wameahidi kuwalipia nauli SimbaKwa hiyo unataka kusemaje wewe Mbumbumbu?
hawa Mob vipi walitakiwa kuwatandika angalau 3....FT
MOB 1-0 Yanga