Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni CAF mkuu...Refa ni boya sana aise...
Ila uwanja wa hawa jamaa ni mdogo watu hawawezi kujitanua
Nyie ndio mafala na vichezaji vyenu vya mafungu munataka kutishirikisha na kichapo chenu.Acha ufala...
Jamaa weupe sana..Wakikutana na TP Mazembe pale Lubumbashi watapigwa za kutosha..Waarabu pumzi imekata manina zao...
Wanakera kiukweliMarefa wa Africa hovyo kabisa, mtu anapendelea wazi wazi kabisa
marefa wenyewe ni vyura hawa yaan hawatak waarabu wagusweDah tunashambuliwa sana
Na huo ndo ufala..Nyie ndio mafala na vichezaji vyenu vya mafungu munataka kutishirikisha na kichapo chenu.
Kila mtu abebe msalapa wake mkuu.
Fala ww uliempitisha manji bila kupingwa.
Yaani yanga wote hakuna mwenye akili na uwezo wa kuwa m/kiti zaidi ya manji aibu kweli nyie gongowazi.
Inaonekana ukiulizwa nani auwawe kati ya baba yako na manji utachaguwa auwawe baba yako fala ww.
nahisi hawa marefa huwa wanapokea maelekezo.. yaan ni wa hovyooo kabisa...Wanakera kiukweli
Refa anawabeba waarabu wazi wazi, inakera sanamarefa wenyewe ni vyura hawa yaan hawatak waarabu waguswe