Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

Waarabu wanafungika..Donald Ngoma kaumia..Amegongana na kipa akiwa anaelekea kufunga
 
Oscar Joshua kaumia..Anashindwa kuendelea..Ameingia Mwinyi Haji
 
Ila hawa waarabu weupe sana,yanga wanshindwa kucheza jihad
 
Ila uwanja wa hawa jamaa ni mdogo watu hawawezi kujitanua
 
Refa anamwaga kadi kwa Yanga kama njugu...

Refa anatokea Morocco...
 
Marefa wa Africa hovyo kabisa, mtu anapendelea wazi wazi kabisa
 
Back
Top Bottom