Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

Watanzania tuache ukarimu na upendo wa kijinga kwa hawa Waarabu wakija Bongo.
 
Yanga sasa hii ni ''walking football'', hakuna kasi kabisa!
 
Halafu mjue kuna wachezaji wao watatu wamezuiliwa mechi hii...
 
Gold 1 kadinyekundu juu. Yanga wakiona mwarabu akili zinawahama kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…