OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nkana Fc wakipasha nje ya uwanja
Muda wa mechi umefika lakini hakuna timu uwanjani. Nkana FC wamegoma kupima Covid 19 wakidai wameshapimwa kwao.
Tunaendelea kusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana atakiwa wameshindakuna aliye-bet namungo yuko hoi hapa!
vipi namungo akipewa ushindi wa mezani, bet yake itachanika?
Inawezekana hapa tz tuna mchezo mchafu zuihujumu timu ngeni kupitia kivuli cha covid test? Maana hata kocha wa vita ni kama alilalamika jana dhidi ya simbakuna aliye-bet namungo yuko hoi hapa!
vipi namungo akipewa ushindi wa mezani, bet yake itachanika?
alilalamika nini? Yanga post kwa kutumia akiliInawezekana hapa tz tuna mchezo mchafu zuihujumu timu ngeni kupitia kivuli cha covid test? Maana hata kocha wa vita ni kama alilalamika jana dhidi ya simba
Alisema wailipimwa mwishoni kabisaa!alilalamika nini? Yanga post kwa kutumia akili
Sio 30 mins?Sheria inasema dkk ngapi wakigoma kuingiza timu uwanjani refa amalize mpira?
Wapi Kocha wa Vita alilalamika..? Kipa KatokaInawezekana hapa tz tuna mchezo mchafu zuihujumu timu ngeni kupitia kivuli cha covid test? Maana hata kocha wa vita ni kama alilalamika jana dhidi ya simba
halafu majibu yakaweje?yaliwaadhiri nini?nani anapima?Alisema wailipimwa mwishoni kabisaa!
Wachezaji 5 wa kutegemewa njehalafu majibu yakaweje?yaliwaadhiri nini?nani anapima?
acha fix wewe,pambana na uyanga wakoWachezaji 5 wa kutegemewa nje