Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

Yaani hawa mabwege tumeshindwa kuwafunga...!!!

Siamini...
 
mlifungwa chang'ombe huku mlienda tu kushangaa fly-over.
 
Yanga tunapaswa kushinda mechi hii kuonesha kuwa zile nyingne hazikuwa team mbovu na wala league ya vodacom hatununui mechi. maana hizi habari za kuwa Platinum ilikuwa mbovu na kuwa hapa bongo tunanunua team hili huwa linaniuma sana. HII MECHI LAZIMA TUSHINDE.
 
Ahsante Yanga kwa kutufikisha hapa, bahati si yetu hii tunatoka tu. Ila mmecheza vizuri sana.
karibuni tena nyumbani...

Pole nifah zile zawadi, zimeyeyuka dear. Ila Masuke atakupoza zawadi hata ya wiki.

Na nyie mikia msijifanye ndiyo mnaanza kuongea, mjiulize nyie mko wapi???
alamsiki...

#teamyanga #

Asante dear...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom