Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
Ndio na mwakinyooooooooJongo ndio alipata ajali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio na mwakinyooooooooJongo ndio alipata ajali.
KweliAlishinda, Mpinzani wake hakuwa dhaifu kihivyo.
For the purpose of money making!Alishinda, Mpinzani wake hakuwa dhaifu kihivyo.
Anavaaga nguo za asili na vichupi hivi. Mara nyingi hubeba na ngao ya asili hata kwenye msiba wa Magufuli nilimuona na hata pia kwa Alikiba na Samata kule.Nani huyo mkuu?
😀😀 afu itakua ni Mayala huyu wetu, ndiyo maana kadundwa yeye anafaa kwenye habari tu😀😀Uandishi wa habari na ngumi wapi na wapi, Nilijua tu atapigwa toka lini bwana Pascal Mayalla akadundana[emoji23]
Poa poa mkuu,napenda sanaSana, kama wewe ni mpenzi wa event za live live, nijulishe tu...mimi ni mdau sana!
Anavaaga nguo za asili na vichupi hivi. Mara nyingi hubeba na ngao ya asili hata kwenye msiba wa Magufuli nilimuona na hata pia kwa Alikiba na Samata kule.
unamzungumzia nani? hujasomeka bado.Anavaaga nguo za asili na vichupi hivi. Mara nyingi hubeba na ngao ya asili hata kwenye msiba wa Magufuli nilimuona na hata pia kwa Alikiba na Sam
Hivi Mwakinyo amecheza mapambano Mangapi Nje ya Nchi na ameshinda Mangapi?This is too much mkuu.
Are yu jealous ama?
Aahh.. Mie nikajua ni huyu ndugu yetu nguli katika tasnia ya habari bwana Pascal Mayalla [emoji23][emoji1787]Sio huyu Mdau Wa Jf huyu ni Antonio Mayala, anatokea Angola.
Mayala ni jina tu la Kibantu. Sio huyu mnyantuzu wetu.
Bebu muite aje, au bado anaugulia maumivu[emoji23][emoji1787][emoji3][emoji3] afu itakua ni Mayala huyu wetu, ndiyo maana kadundwa yeye anafaa kwenye habari tu[emoji3][emoji3]
so kumbe unamkubali kiaina sio. big upKwa Taarifa nilizopata Ni Kwamba Mwakinyo amecheza Mapambano ma4 Nje ya Nchi. Kwamba aKapingwa moja akashinda ma3
.....
Na Pambano alilopoteza nje ni Urusi dhidi ya Lendrus Akopian 2017 alishindwa kwa point round 10
....
Na pia Botswana alitwaa ubingwa wa WBA Pan African Super Walter Title dhidi ya Anthony Jarmann wa Namibia 2017/08...
Ngoja tumwache kwanza ajiuguze😀😀Bebu muite aje, au bado anaugulia maumivu[emoji23][emoji1787]