LIVE Updates: Rumble in Dar Season 2

LIVE Updates: Rumble in Dar Season 2

Mwakinyo alifanya connection nzuri ya mkono wake wa kushoto na kulia.
Akampiga Bwana Mayala kwa TKO moja nzuri.

Pongezi kwa Hassani Mwakinyo.

Ila Mwakinyo anapaswa aendelee kupunguza mbwembwe...
 
The winner is Hassan Mwakinyoooo yeaaahh

20210528_233654.jpg
 
.....Was not my division...only 8 days notice, he has all the time to prepare himself.....

Mi sioni ubora wa Mwakinyo kwa kauli hizo za jamaa, tujaribu tena jamani!
 
.....Was not my division...only 8 days notice, he has all the time to prepare himself.....

Mi sioni ubora wa Mwakinyo kwa kauli hizo za jamaa, tujaribu tena jamani!
Mkuu huyo Mayala aliulizwa with only 8days notice unaamini utaweza pambano akasema a boxer anatakiwa kuwa tayari muda wote so he's ready, asijitetee hapo hatukumfunga kamba tukamvuta aje kaja mwenyewe😜 pia Mwakinyo mwenyewe anasema alijandaa kupigana na mwingine siyo huyo so wote hawakujiandaa, hivo bado Mwakinyo yuko vizuri.
 
Mkuu huyo Mayala aliulizwa with only 8days notice unaamini utaweza pambano akasema a boxer anatakiwa kuwa tayari muda wote so he's ready, asijitetee hapo hatukumfunga kamba tukamvuta aje kaja mwenyewe😜 pia Mwakinyo mwenyewe anasema alijandaa kupigana na mwingine siyo huyo so wote hawakujiandaa, hivo bado Mwakinyo yuko vizuri.
Mwalimu wa Mwakinyo anasema walifanya maandalizi ya miezi 4 hata kabla ya Korona walijua kuhusu pambano.

Si kweli kwamba aliulizwa, alitaarifa kuhusu kuhitajika kupambana siku 8 zilizopita, pili si bondia aliye kwenye division aliyo Mwakinyo, jamaa akasema.

Maana yake ni kuwa, jamaa alikuja kuitumikia pesa aliyokubali kuchukua kutokana na njaa, ametimiza jukumu lake.

Ubaya ni hapo sasa, sio wa division hiyo, pili ni siku nane tu za maandalizi; sasa angekuwa wa division hiyo na maandalizi ya kutosha, sioni tungechomoka vipi! Round 9, kila round imesimamia siku moja ya taarifa!

Dada, kati ya Tanga na Mbeya, wewe ni mwenyeji wa mkoa gani? Lol
 
Mwalimu wa Mwakinyo anasema walifanya maandalizi ya miezi 4 hata kabla ya Korona walijua kuhusu pambano.

Si kweli kwamba aliulizwa, alitaarifa kuhusu kuhitajika kupambana siku 8 zilizopita, pili si bondia aliye kwenye division aliyo Mwakinyo, jamaa akasema.

Maana yake ni kuwa, jamaa alikuja kuitumikia pesa aliyokubali kuchukua kutokana na njaa, ametimiza jukumu lake.

Ubaya ni hapo sasa, sio wa division hiyo, pili ni siku nane tu za maandalizi; sasa angekuwa wa division hiyo na maandalizi ya kutosha, sioni tungechomoka vipi! Round 9, kila round imesimamia siku moja ya taarifa!

Dada, kati ya Tanga na Mbeya, wewe ni mwenyeji wa mkoa gani? Lol
Watangazaji walisema wameongea naye before pambano ndiyo akawajibu hivo! Aache njaa njaa atakuja kupasuliwa uso😀 ila kiukweli kajitahidi bana hadi nilipata wasiwasi kwamba Mwakinyo anaweza loose pambano. Kajitahidi.

Ebu guess mimi ni wa mkoa gani mkuu😀😀
 
Watangazaji walisema wameongea naye before pambano ndiyo akawajibu hivo! Aache njaa njaa atakuja kupasuliwa uso😀 ila kiukweli kajitahidi bana hadi nilipata wasiwasi kwamba Mwakinyo anaweza loose pambano. Kajitahidi.

Ebu guess mimi ni wa mkoa gani mkuu😀😀
Kweli jamaa angekuwa na ngumi nzito, pambano lingeishia raundi ya kwanza.

Ukilinganisha na lile pambano jingine alilobebwa, hili ametawala round nyingi, na sababu sasa si ndo hiyo, ameonea dagaa...jamaa na miaka yake 38, angalia mapambano aliyopigana na kushinda ahahahah

Kwa mwandiko wako, wewe ni Tanga line
 
Back
Top Bottom