OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Linahisiwa ni uzinduzi wa jezi za Visit TanzaniaTukio gani hili mkuu?
Labda wanazindua jezi za CaclTukio gani hili mkuu?
Kwenye barua gani?Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.
Yanga kujibrand kama timu ya "wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.
Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Misimu iliyopita Simba ilipoweka hiyo visit Tanzania ilipata faida gani?Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.
Yanga kujibrand kama timu ya "wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.
Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Nakubaliana na wewe, waliharibu sana na utetezi wao ulikuwa dhaifu mno. Kwanza kwenye barua ya kiingereza maelezo yale hawakuyaweka.Kwenye barua gani?
Ile press release yao?
Mbona mle ndio wameharibu kabisa kwa kutilia mkazo kuwa maamuzi yao ya kuikataa Visit Tanzania haikuwa bahati mbaya bali walimaanisha
Faida kwa maana ya malipo au?Misimu iliyopita Simba ilipoweka hiyo visit Tanzania ilipata faida gani?
Faida ilienda kuinufaisha nchi kawaulize sector ya utaliiMisimu iliyopita Simba ilipoweka hiyo visit Tanzania ilipata faida gani?
Kumbe Yanga kuitwa timu ya Wananchi inawauma na mnatamani Simba ichukue iyo nafasi?? Duuuh mnashangaza sanaSimba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.
Yanga kujibrand kama "timu ya wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.
Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Yanga ndio wananchi hawaitaji kuji bland popote, walio anzisha TAA, TANU, CCM, SIMBA, RED STAR n.k ao wote wametoka katika viuno vya Yanga.Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.
Yanga kujibrand kama timu ya "wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.
Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Zungumzieni tukio la Simba. Mbona uzi unaanza kutawaliwa na habari za YANGA?Nakubaliana na wewe, waliharibu sana na utetezi wao ulikuwa dhaifu mno. Kwanza kwenye barua ya kiingereza maelezo yale hawakuyaweka.
Pia maelezo yao yanaonyesha kama vile SportPesa walikuja na wazo la Visit Tanzania baada ya mawazo mengine kushindikana wakati kama nakumbuka vizuri, SportPesa walisema hilo lilikuwa ni moja ya mawazo ya mwanzo yaliyokataliwa na Yanga.
Utopolo mtupuUjinga mtupu.
Mnatembelea makasirikoUtopolo mtupu