Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Hakuna cha precedence wala nini, jana Ahmed Ally amesema kwa miaka hii 5 ya mkataba na M-Bet hakai mtu mwingine kwenye kifua cha Simba zaidi ya M-Bet na Visit Tanzania. Kuwa surprised ndiyo, kila mtu amekuwa surprised ila tunakuwa surprised hata tukiona mtu anajisaidia haja kubwa hadharani.

Tatizo lililopo ni tofauti za kimtazamo wa jinsi mikataba inavyotakiwa kusimamiwa na kuheshimiwa na jinsi ya kujenga mahusiano kati ya B2B.
Huyo ni Ahmed Ally, who is he?
Hata huyo M-Bet anaweza kuondoka au kuondolewa kesho asubuhi, as long as taratibu zinafuatwa. He doesn't make business decisions na kuwekavisit Tanzania hakuamuliwi na M-Bet ni uamuzi wa pande zote mbili.
Usitake kutuaminisha, all of a sudden betting companies zote zinataka visit Tanzania kifuani. What if they want visit Burundi? Au visit Dubai? na kukawa na 50bn zimewekwa. You think all that money will go to Mbet? No, way!
Usiondoe uamuzi wa Simba kuweka visit Tanzania kifuani. Simba nao wapo kwenye equation, so if the money is right they can make other decisions too.
 
Huyo ni Ahmed Ally, who is he?
Hata huyo M-Bet anaweza kuondoka au kuondolewa kesho asubuhi, as long as taratibu zinafuatwa. He doesn't make business decisions na kuwekavisit Tanzania hakuamuliwi na M-Bet ni uamuzi wa pande zote mbili.
Usitake kutuaminisha, all of a sudden betting companies zote zinataka visit Tanzania kifuani. What if they want visit Burundi? Au visit Dubai? na kukawa na 50bn zimewekwa. You think all that money will go to Mbet? No, way!
Usiondoe uamuzi wa Simba kuweka visit Tanzania kifuani. Simba nao wapo kwenye equation, so if the money is right they can make other decisions too.
Ahmed Ally ni msemaji tu haongei kitu bila maelekezo ya wakubwa zake na nashukuru siku hizi ameacha hata kuongelea habari za Yanga hata akiulizwa. Huo ndiyo uprofessional.

Timu inaweza kutoa pendekezo la nini kuwekwa kama mbadala wa mdhamini mkuu inapotokea hali kama hiyo ya CAF ila mdhamini ni sharti aridhie, bado yeye ana kauli ya mwisho kwenye suala hilo. Kwa hiyo inawezekana kabisa Visit Tanzania lilikuwa ni wazo la Simba kwa SP nao wakalikubali na ambalo wameendelea nalo kwa M-Bet.

Soma sentensi ya mwisho vizuri kwenye post uliyoniqoute utaelewa mitazamo miwili inayokinzana kati ya Yanga na Simba kwenye masuala ya biashara na mikataba.

Club inabidi ijiwekee projection ya matumizi kwa miaka 3 hadi 5 halafu unatafuta vyanzo vya mapato vya kuifaidisha club kucover matumizi uliyojipangia. Unapopata mdhamini mkuu ambaye kwa kiasi kikubwa ndiye anayecover budget yako, inabidi ujue haki na wajibu wako kwake maana huyu ndiye hasa anakulisha na kukuvalisha, hautataka uvurugane naye katikati ya mkataba.

Sehemu nyingine ambapo una uhuru wa kuongeza vipato bila kuathiri mikataba iliyopo unaendelea kujiongeza kama ambavyo Simba wameendelea kupata wadhamini wengine wadogo bila kuathiri mkataba na M-Bet. Unapotaka kuvunja mkataba au kuubadilisha haufanyi kihuni, unarudi mezani au ikishindikana unatumia vyombo vya sheria. Mara nyingi inabidi uwe tayari kulipa fidia au kupoteza haki fulani katika mkataba, it's give and take.

Natumai nimetolea ufafanuzi wa kutosha kwenye hili.
 
Ahmed Ally ni msemaji tu haongei kitu bila maelekezo ya wakubwa zake na nashukuru siku hizi ameacha hata kuongelea habari za Yanga hata akiulizwa. Huo ndiyo uprofessional.

Timu inaweza kutoa pendekezo la nini kuwekwa kama mbadala wa mdhamini mkuu inapotokea hali kama hiyo ya CAF ila mdhamini ni sharti aridhie, bado yeye ana kauli ya mwisho kwenye suala hilo. Kwa hiyo inawezekana kabisa Visit Tanzania lilikuwa ni wazo la Simba kwa SP nao wakalikubali na ambalo wameendelea nalo kwa M-Bet.

Soma sentensi ya mwisho vizuri kwenye post uliyoniqoute utaelewa mitazamo miwili inayokinzana kati ya Yanga na Simba kwenye masuala ya biashara na mikataba.

Club inabidi ijiwekee projection ya matumizi kwa miaka 3 hadi 5 halafu unatafuta vyanzo vya mapato vya kuifaidisha club kucover matumizi uliyojipangia. Unapopata mdhamini mkuu ambaye kwa kiasi kikubwa ndiye anayecover budget yako, inabidi ujue haki na wajibu wako kwake maana huyu ndiye hasa anakulisha na kukuvalisha, hautataka uvurugane naye katikati ya mkataba.

Sehemu nyingine ambapo una uhuru wa kuongeza vipato bila kuathiri mikataba iliyopo unaendelea kujiongeza kama ambavyo Simba wameendelea kupata wadhamini wengine wadogo bila kuathiri mkataba na M-Bet. Unapotaka kuvunja mkataba au kuubadilisha haufanyi kihuni, unarudi mezani au ikishindikana unatumia vyombo vya sheria. Mara nyingi inabidi uwe tayari kulipa fidia au kupoteza haki fulani katika mkataba, it's give and take.

Natumai nimetolea ufafanuzi wa kutosha kwenye hili.
No.
Kwanzan kabisa usifananishe mkataba wa SP na Yanga na SP na Namungo kuwa sawa. Siyo tu kipesa bali the whole package is different and even the power that Namungo has on the negotiation table haipo sawa na Yanga. This is obvious.
Pia, Ahmed Ally ameshasema na anaendelea kusema vitu ambavyo unajua kabisa havi-reflect maelekezo ya wakubwa (au wenzake kwa kuwa yeye ni member kama wengine), so please get that professional garbage out of here.
Usipende kukariri kuwa mikataba inafanana. Haifanani na haki za timu kwenye mikataba zinatofautiana. So, don't argue as if umeuona mkataba wa Yanga na SP.
But from the look of things, haiwezekani SP na M-Bet wote watake visit tanzania. What a coincidence! Kwa hiyo Serikali ya Kenya ikitoa hela ndefu kutaka kukaa kifuani mwa jersey ya Yanga wakati hakuna haki ya SP kukaa kifuani mwa Yanga unafikiri Yanga watakataa? Au unafikiri Yanga wanakatazwa? No, hayo ni mambo ya kimkataba na timu hizi zina budget deficit kubwa, hazitengenezi faida.
So msitegemee kila mwaka eti Dewji ataweka 5BN, hell no! hakuna cha 5yr projection hapo, who the hell are you/
 
No.
Kwanzan kabisa usifananishe mkataba wa SP na Yanga na SP na Namungo kuwa sawa. Siyo tu kipesa bali the whole package is different and even the power that Namungo has on the negotiation table haipo sawa na Yanga. This is obvious.
Pia, Ahmed Ally ameshasema na anaendelea kusema vitu ambavyo unajua kabisa havi-reflect maelekezo ya wakubwa (au wenzake kwa kuwa yeye ni member kama wengine), so please get that professional garbage out of here.
Usipende kukariri kuwa mikataba inafanana. Haifanani na haki za timu kwenye mikataba zinatofautiana. So, don't argue as if umeuona mkataba wa Yanga na SP.
But from the look of things, haiwezekani SP na M-Bet wote watake visit tanzania. What a coincidence! Kwa hiyo Serikali ya Kenya ikitoa hela ndefu kutaka kukaa kifuani mwa jersey ya Yanga wakati hakuna haki ya SP kukaa kifuani mwa Yanga unafikiri Yanga watakataa? Au unafikiri Yanga wanakatazwa? No, hayo ni mambo ya kimkataba na timu hizi zina budget deficit kubwa, hazitengenezi faida.
So msitegemee kila mwaka eti Dewji ataweka 5BN, hell no! hakuna cha 5yr projection hapo, who the hell are you/
Kwa hiyo unadhani Ahmed Ally anaweza kusema maneno yake mbele ya wakubwa zake wote na mbele ya media tena kwa msisitizo bila kuwa ameambiwa aseme hivyo?

Serikali ya Kenya au mfadhili mwingine yoyote akitaka kukaa kifuani mwa Yanga katikati ya mkataba wake na mfadhili mwingine, Yanga inabidi arudi kwenye meza ya majadiliano. Kwenye biashara na maisha kila kitu kina bei. Inawezekana kabisa pesa na mapendekezo ya mdhamini mpya yakashawishi pande zote kukubali na hata kukubali kubadili au kuvunja mkataba. Mbona hadi timu zinanunuliwa huko Ulaya kila siku, ni kwa sababu pande zote zimeridhia.

Timu kuendeshwa kwa deficit siyo jambo la kushangaza katika ligi yetu na kuna mawili. Moja haikufanyika projection sahihi ya matumizi kwa hiyo katikati ya msimu mmetumia pesa zaidi ya mlivyotegemea na hamna vyanzo vya pesa kufidia. Pili viwango vya mapato havitoshelezi mahitaji mliyojiwekea. Hili la kwanza sababu kubwa ni mapungufu katika utendaji na uendeshaji wa club. La pili ni club kushindwa kushawishi wadhamini wa kutosha kujazia kibubu (na pia mashabiki kutokuja uwanjani). Ndiyo maana tunaoshauri Yanga awe makini tunaona akiharibu kwa SP, hakuna wadhamini wengi katika soko letu wa kuchukua nafasi yake. Uchumi wetu huu wote tunaujua kwa hiyo ni muhimu kucheza kwa step na hawa wadhamini.
 
Kwa hiyo unadhani Ahmed Ally anaweza kusema maneno yake mbele ya wakubwa zake wote na mbele ya media tena kwa msisitizo bila kuwa ameambiwa aseme hivyo?
Of course, are you seriously asking me that question ⁉️
 
Na mimi nakushangaa wewe kunishangaa mimi kwa kusema hivyo!!
Kwa sababu umeweka Imani kwa binadamu mwingine.
Ni sawa na kusema mke wangu hawezi kunisaliti. That's another human being 🤣😂🤣.
He has done that before! That's what makes it funnier.
 
Kwa sababu umeweka Imani kwa binadamu mwingine.
Ni sawa na kusema mke wangu hawezi kunisaliti. That's another human being 🤣😂🤣.
He has done that before! That's what makes it funnier.
Usichanganye mambo bro. Hayo mambo ya before na after mimi hayanihusu. Tunaongelea specifically kile alichosema wakati wa uzinduzi. Wewe unadai kuwa maneno aliyotamka mbele ya mabosi wake si maneno aliyotumwa kusema bali amejitamkia. Nikitumia maneno yako "who the hell are you?"
 
Usichanganye mambo bro. Hayo mambo ya before na after mimi hayanihusu. Tunaongelea specifically kile alichosema wakati wa uzinduzi. Wewe unadai kuwa maneno aliyotamka mbele ya mabosi wake si maneno aliyotumwa kusema bali amejitamkia. Nikitumia maneno yako "who the hell are you?"
I'm the person who observes.
Wewe ulikuwepo kwenye kikao?
If not, then use logic. He has done it before. That institution isn't as professional as you would like it to be.
Sorry, I don't buy it.
 
I'm the person who observes.
Wewe ulikuwepo kwenye kikao?
If not, then use logic. He has done it before. That institution isn't as professional as you would like it to be.
Sorry, I don't buy it.
Sikuelewi usichoamini ni nini hasa? Kwamba hajatamka maneno hayo? Au kwamba hajayatamka mbele ya mabosi wake? Nini hasa unapinga?
 
Sikuelewi usichoamini ni nini hasa? Kwamba hajatamka maneno hayo? Au kwamba hajayatamka mbele ya mabosi wake? Nini hasa unapinga?
Kwamba kila anachoongea katumwa aongee.
Kisichoeleweka nini au unataka tu conversation?
 
Back
Top Bottom