Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Nakubaliana na wewe, waliharibu sana na utetezi wao ulikuwa dhaifu mno. Kwanza kwenye barua ya kiingereza maelezo yale hawakuyaweka.

Pia maelezo yao yanaonyesha kama vile SportPesa walikuja na wazo la Visit Tanzania baada ya mawazo mengine kushindikana wakati kama nakumbuka vizuri, SportPesa walisema hilo lilikuwa ni moja ya mawazo ya mwanzo yaliyokataliwa na Yanga.
Sisi ni mashabiki tu masuala ya sheria tuwaachie waliobobea kwenye iyo taaluma. Sportpesa alitoa siku 3 yanga aondoe nembo ya mdhamini mpya siku 3 zimeisha na hakuna taarifa ya club iyosema kama iyo nembo imeondolewa wala hatujaona hatua zozote zilizochukuliwa na sportpesa tusubiri yanga anaanza mashindano jumapili tu hapo tuone kama hataingia uwanjani na jezi za mdhamini mpya na kama akiingia nazo tutaona sportpesa atachukua hatua gani. Ishu ya feisal hivi hivi mlijikuta wachambuzi wa sheria TFF ikatoa tamko feisal ni mchezaji wa yanga mkaumbuka. Wekeni akiba ya maneno ndugu zangu
 
Mkuu, unapopangisha kwa mdhamini sehemu ya kifuani ya jezi kwa ajili ya nembo yako, huna mamlaka nayo tena, anayo yeye. Options ni either akuchagulie nembo au aache pabaki wazi, lakini si wewe kupangisha mtu mwingine. Kwa hiyo huwezi kusema ni bure wakati kodi ulishakula
Mdhamini anahusika kwenye maeneo eneo lake tu, umelipia chumba basi eneo lako ni chumbani, sebureni hapakuhusu. CAF haitajiki mdhamini mwingine anaehusika na masuala ya kubet zaidi ya 1xbet kwa maana iyo automatically kampuni zingine zinakua disqualified kukaa kifuani uko
 

Attachments

  • Mo.jpg
    Mo.jpg
    67.1 KB · Views: 1
Sisi ni mashabiki tu masuala ya sheria tuwaachie waliobobea kwenye iyo taaluma. Sportpesa alitoa siku 3 yanga aondoe nembo ya mdhamini mpya siku 3 zimeisha na hakuna taarifa ya club iyosema kama iyo nembo imeondolewa wala hatujaona hatua zozote zilizochukuliwa na sportpesa tusubiri yanga anaanza mashindano jumapili tu hapo tuone kama hataingia uwanjani na jezi za mdhamini mpya na kama akiingia nazo tutaona sportpesa atachukua hatua gani. Ishu ya feisal hivi hivi mlijikuta wachambuzi wa sheria TFF ikatoa tamko feisal ni mchezaji wa yanga mkaumbuka. Wekeni akiba ya maneno ndugu zangu
Umeona hata nguo za kusafiria walizovaa Leo Zina nembo ya Hair
 
Inshot mashabiki wa simba walitegemea kitu kikubwa lakini wamekutana na jezi nje ya matarajio yao, wameshindwa kukubali moja kwa moja kuwa mtani wao kawazidi kwenye suala la jezi kwahyo wanatafta kichaka ila ukweli wanaujua.
 
Sisi ni mashabiki tu masuala ya sheria tuwaachie waliobobea kwenye iyo taaluma. Sportpesa alitoa siku 3 yanga aondoe nembo ya mdhamini mpya siku 3 zimeisha na hakuna taarifa ya club iyosema kama iyo nembo imeondolewa wala hatujaona hatua zozote zilizochukuliwa na sportpesa tusubiri yanga anaanza mashindano jumapili tu hapo tuone kama hataingia uwanjani na jezi za mdhamini mpya na kama akiingia nazo tutaona sportpesa atachukua hatua gani. Ishu ya feisal hivi hivi mlijikuta wachambuzi wa sheria TFF ikatoa tamko feisal ni mchezaji wa yanga mkaumbuka. Wekeni akiba ya maneno ndugu zangu
Aah wapi tutayaongelea kwa jinsi tunavyoyaona. Kwani hiyo barua si waliandika SP wenyewe na wakasema wanahifadhi haki yao ya kuchukua hatua za kisheria. Haki hiyo hai expire baada ya siku 3 walizosema. Mwisho wa msimu tukutane hapa tuzungumze.
 
Japokuwa Simba damu, ila huyu vunjabei mkataba wake ukiisha, please hii zabuni apewe mtu mwengine angalau tupate taste mpya, mwamba anapwaya sana, ubunifu mdogo yani kinyonge sana ..
Hawezi kubali iachia kirahisi maana kwa maneno yake mwenyewe kasema anapata pesa nyingi
 
Jersey zenyewe kama gunia la maharage!!
Bora vile vijola vyenu kuliko hayo magunia.
 
Aah wapi tutayaongelea kwa jinsi tunavyoyaona. Kwani hiyo barua si waliandika SP wenyewe na wakasema wanahifadhi haki yao ya kuchukua hatua za kisheria. Haki hiyo hai expire baada ya siku 3 walizosema. Mwisho wa msimu tukutane hapa tuzungumze.
Nakuhakikishia siyo nchi tu, hata Simba wamekuwa suprised na hii move ya Yanga.
Ita-set precedence hata kwa Simba, subiri next season uone.
 
Nakuhakikishia siyo nchi tu, hata Simba wamekuwa suprised na hii move ya Yanga.
Ita-set precedence hata kwa Simba, subiri next season uone.
Hakuna cha precedence wala nini, jana Ahmed Ally amesema kwa miaka hii 5 ya mkataba na M-Bet hakai mtu mwingine kwenye kifua cha Simba zaidi ya M-Bet na Visit Tanzania. Kuwa surprised ndiyo, kila mtu amekuwa surprised ila tunakuwa surprised hata tukiona mtu anajisaidia haja kubwa hadharani.

Tatizo lililopo ni tofauti za kimtazamo wa jinsi mikataba inavyotakiwa kusimamiwa na kuheshimiwa na jinsi ya kujenga mahusiano kati ya B2B.
 
Back
Top Bottom