Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Kwahiyo pasipo kuwepo kwa neno Tanzania, hayo uliyoyataja yasingefanikiwa?
Kila anayeliangalia goli la Sakho lililoshinda CAF anaona Visit Tanzania kwenye vifua vya miamba. We unaona jambo dogo hilo?
 
Kwa ni lazima uandike ujinga. Kama jambo linakutatiza kaa kimya kuficha upumbavu wako sio kukenua kenua tu
Sasa ujinga upi,ujinga ni kumwalika mchezaji kwenye kampeni za uchaguzi, sasa cha ajabu nini si Simba ndio walifanya ujinga wa kumwalika,sasa kuliza leo ulio ujinga mliofanunya kipindi cha uchaguzi ndio kosa au.....

Hii inatwa JAMII forum.
 
Kwenye masuala ya branding, kila unachofanya lazima kishabihiane, mambo yako yakikinzana unafeli. Hauwezi kujiita "classic restaurant" halafu mteja akija anakuta sehemu yako imejaa inzi.

Kujiita timu ya wananchi kunaendana na matendo na si maneno tu.

Pia Yanga hana historia nzuri kumzidi Simba kwenye masuala ya kuijua pesa. Simba aliachana na SportPesa baada ya SP kutaka kuipa udhamini Simba unaofanana na wa Yanga wakati thamani ya timu hizi mbili haikuwa sawa.
Una leta nadharia kwenye uhalisia!!!!.. yanga haiwezi kutumika kunufaisha wizara iliyo na bajeti ya hayo maswala... Kama walitaka watangaziwe wangeweka mpunga, Rwanda sio wajinga kwenda kwa psg. Yanga sio Azam wala Namungo kwamba anahitaji kujibrand tena... Simba ingekuwa inaijua pesa isingekubali kupokea 150m per year kutangaza bidhaa za Mo wakati huo Mbet atoe 1B+ kwa mwaka 😅. Wajinga ndio waliwao
 
Yanga inajua karaha ya kutembeza bakuli kwahiyo haitaki kurudi huko tena.
Basi jifunzeni kwa wanaoijua pesa vizuri msikurupuke. Huku ground watu wanafanya sana kazi za bure kujenga mahusiano mazuri na watu ili fursa ikitokea ukumbukwe. Unadhani pesa ya Haier ndiyo itamaliza matatizo yenu huku mkiharibu mahusiano na aliyekuwa anawaweka mjini?
 
Una leta nadharia kwenye uhalisia!!!!.. yanga haiwezi kutumika kunufaisha wizara iliyo na bajeti ya hayo maswala... Kama walitaka watangaziwe wangeweka mpunga, Rwanda sio wajinga kwenda kwa psg. Yanga sio Azam wala Namungo kwamba anahitaji kujibrand tena... Simba ingekuwa inaijua pesa isingekubali kupokea 150m per year kutangaza bidhaa za Mo wakati huo Mbet atoe 1B+ kwa mwaka 😅. Wajinga ndio waliwao
Kuna kampuni isiyohitaji kujibrand? Kama hadi nchi zinajibrand, isijekuwa choka mbaya kama taasisi ya Yanga? Unajua Yanga waliingia mkataba na kampuni ya marketing mwaka jana, unajua kazi yao ni nini?
 
Kuna kampuni isiyohitaji kujibrand? Kama hadi nchi zinajibrand, isijekuwa choka mbaya kama taasisi ya Yanga? Unajua Yanga waliingia mkataba na kampuni ya branding mwaka jana?
Yanga haiwezi kujibrand kupitia kuvaa jezi ya visit Tz ni kwa kufanya vizuri uwanjani na usajiri Bora.. vyote hivyo vinahitaji pesa. Tanzania itatoa pesa kujitangaza kupitia wizara yake msilazimishe mnachokifanya nyie na wengine wakifanye😅..
 
Yanga haiwezi kujibrand kupitia kuvaa jezi ya visit Tz ni kwa kufanya vizuri uwanjani na usajiri Bora.. vyote hivyo vinahitaji pesa. Tanzania itatoa pesa kuimjitangaza kupitia wizara yake msilazimishe mnachokifanya nyie na wengine wakifanye😅..
Hakuna aliyelazimishwa ila leo mmelipa kwa makosa yenu. Wenzako wanaojua wanatambua hilo. Wewe unadhani kwa nini ile barua yenu waliamua kutoa maelezo wakati tumekataza kujieleza sana.
 
Hakuna aliyelazimishwa ila leo mmelipa kwa makosa yenu. Wenzako wanaojua wanatambua hilo. Wewe unadhani kwa nini ile barua yenu waliamua kutoa maelezo wakati tumekataza kujieleza sana.
Yanga ishapiga mpunga nyie katangazeni visit Tz 🤣🤣, huu ni ulimwengu wa kibepari hakuna free plate asee!!.
 
HIVI HIZI NI JEZI ZA KUVALISHA BINAADAMU WENYE AKILI TIMAMU KWELI? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_0764.jpg
 
Yanga ishapiga mpunga nyie katangazeni visit Tz 🤣🤣, huu ni ulimwengu wa kibepari hakuna free plate asee!!.
Na wale mamodel mliwatoa wapi, yaani nyie mnachekeshaga sana. Nashukuru leo Simba hawajafanya upuuzi ule. Mna mengi ya kujifunza ndugu zangu.

Halafu nyie si ni wajamaa, ubepari tena? Wasije wakakusikia wenzio.
 
  • Kicheko
Reactions: Exy
Na wale mamodel mliwatoa wapi, yaani nyie mnachekeshaga sana. Nashukuru leo Simba hawajafanya upuuzi ule. Mna mengi ya kujifunza ndugu zangu.
Tujifunze kutangaza bidhaa za Mo kwa mwaka 150M?
 
kumbe simba walishaachana na african carriers?....
basi ule mgogoro wa bus inawezekana kweli ulikuwepo, maana siioni logo ya african carriers hapo
African carriers ndio nini?
 
Tunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.

Halafu serikali hii imetenga bajeti, Kuna billions of money zipo kwa ajili ya kuutangaza utalii, Tunaona viwanja mbalimbali Ulaya utalii wa Tanzania ukitangazwa, hivi mnajua ni mabilioni mangapi serikali yetu inatoa huko? Kwanini msiyapate nyinyi?

Wapumbavu fulani wanaojifanya wazalendo uchwara
utawasikia eti tunatangaza utalii for free[emoji848]

Yaani hii klabu ya masikini ambayo hata bajeti yake tu kwa mwaka mmoja haijitoshelezi paka inakopeshwa fedha na mwekezaji ili iweze kujiendesha eti nao wanajitokeza kutangaza utalii bule[emoji848][emoji848] Utalii wa nyoko[emoji2959][emoji2959][emoji2959]

Hayo mapato yatokanayo na watalii yanainufaishaje nchi? Ninyi ndio mnaowasaidia hawa watawala wa CCM waendelee kuinyonya hii nchi!!!! bladfakeni
Ishu sio Simba, m bet ndio kawabana maana kalipa kifua
 
Wanathiiiimbaaaaaaa

Tumepigwa wanangu, Jezi hazina ubunifu na mvuto wowote zaidi ya Kutoa neno M bet na kuweka Visit Tanzania

Nawaambiaga wanasimba wenzangu kila siku Wenzetu Yanga wametupiga Gap hasa kwenye ubunifu wa jezi
 
Kwenye barua gani?

Ile press release yao?

Mbona mle ndio wameharibu kabisa kwa kutilia mkazo kuwa maamuzi yao ya kuikataa Visit Tanzania haikuwa bahati mbaya bali walimaanisha
Nazikubali sana hoja zako ila likijitokeza suala la simba na yanga tu sijui unapatwaga na nini akilini
 
Back
Top Bottom