Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Mkuu unataka kweli twende huku?
Tunakumbushana tu, wao waliwaona watu weupe ni Bora kuliko umoja wetu katika kutafuta uhuru, Waki itwa Simba inatosha mambo ya Nchi hii Asili yake ni Yanga.
 
Tunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.

Halafu serikali hii imetenga bajeti, Kuna billions of money zipo kwa ajili ya kuutangaza utalii, Tunaona viwanja mbalimbali Ulaya utalii wa Tanzania ukitangazwa, hivi mnajua ni mabilioni mangapi serikali yetu inatoa huko? Kwanini msiyapate nyinyi?

Wapumbavu fulani wanaojifanya wazalendo uchwara
utawasikia eti tunatangaza utalii for free[emoji848]

Yaani hii klabu ya masikini ambayo hata bajeti yake tu kwa mwaka mmoja haijitoshelezi paka inakopeshwa fedha na mwekezaji ili iweze kujiendesha eti nao wanajitokeza kutangaza utalii bule[emoji848][emoji848] Utalii wa nyoko[emoji2959][emoji2959][emoji2959]

Hayo mapato yatokanayo na watalii yanainufaishaje nchi? Ninyi ndio mnaowasaidia hawa watawala wa CCM waendelee kuinyonya hii nchi!!!! bladfakeni
Msituharibie shughuli yetu. Kwani timu hazitakiwi kufanya shughuli za kijamii? Kwani jukumu la kwanza la raia/mwananchi si ni kulilinda na kulitetea taifa lake? Nyie wa kususa inamaana kesho tukivamiwa mtasema hamtalipigania kisa kuna JWTZ na nyie hamlipwi?
 
Tunakumbushana tu, wao waliwaona watu weupe ni Bora kuliko umoja wetu katika kutafuta uhuru, Waki itwa Simba inatosha mambo ya Nchi hii Asili yake ni Yanga.
Tutalirudia hili suala wakati mwingine, ngoja tuenjoy shughuli yetu
 
Tunakumbushana tu, wao waliwaona watu weupe ni Bora kuliko umoja wetu katika kutafuta uhuru, Waki itwa Simba inatosha mambo ya Nchi hii Asili yake ni Yanga.
role ya kwanza ya klabu ya soka ni kucheza mpira, sio kutafuta uhuru wa nchi 😁
 
Ili kuonyesha Serikali inajali mchango wa Yanga katika kupigania uhuru wa nchi hii ilitakiwa fedha zote ziwe na Logo ya Yanga.
Yanga ilikua ikitumia mapato yake baada ya mechi kufadhiri shughuliza TANU wakati wa kupigania uhuru.
Simba ndio timu ya kwanza kucheza mechi ikiwa imevaa viatu

Simba ndio timu ya kwanza kuvaa jezi

Simba ndio timu ya kwanza kumiliki basi lake

Hizo hela unazodai Yanga walikuwa wakizitumia kwenye mambo ya uhuru walizitoa wapi kama kwenye mechi tu walishindwa kumudu gharama za jezi walikuwa wanacheza matumbo wazi?
 
Tunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.

Halafu serikali hii imetenga bajeti, Kuna billions of money zipo kwa ajili ya kuutangaza utalii, Tunaona viwanja mbalimbali Ulaya utalii wa Tanzania ukitangazwa, hivi mnajua ni mabilioni mangapi serikali yetu inatoa huko? Kwanini msiyapate nyinyi?

Wapumbavu fulani wanaojifanya wazalendo uchwara
utawasikia eti tunatangaza utalii for free[emoji848]

Yaani hii klabu ya masikini ambayo hata bajeti yake tu kwa mwaka mmoja haijitoshelezi paka inakopeshwa fedha na mwekezaji ili iweze kujiendesha eti nao wanajitokeza kutangaza utalii bule[emoji848][emoji848] Utalii wa nyoko[emoji2959][emoji2959][emoji2959]

Hayo mapato yatokanayo na watalii yanainufaishaje nchi? Ninyi ndio mnaowasaidia hawa watawala wa CCM waendelee kuinyonya hii nchi!!!! bladfakeni
Unawezaje kuandika article ndefu halafu ukakosa uelewa wa mambo madogo? Umenikumbusha shuleni unakuta jamaa kajaza booklets anakula 10% wewe pages 3 unakula 80%.

Kama ni suala la huo udhamini Simba ilishamalizana na Mbet nje ndani,kwa hiyo mdhamini ameamua atumie vipi nafasi yake. Kwa hiyo Simba ilishachukua hiyo hela unayoitolea povu wewe
 
Simba ndio timu ya kwanza kucheza mechi ikiwa imevaa viatu

Simba ndio timu ya kwanza kuvaa jezi

Simba ndio timu ya kwanza kumiliki basi lake

Hizo hela unazodai Yanga walikuwa wakizitumia kwenye mambo ya uhuru walizitoa wapi kama kwenye mechi tu walishindwa kumudu gharama za jezi walikuwa wanacheza matumbo wazi?
Wewe bado mchanga, aya mambo inabidi nikae na wakina Mzee Kilomoni kidogo na wakina kaduguda wanaweza kuwa Wana nielewa.

Vitu vingine kama huvielewi ujue sio saizi Yako wapo watu wanaelewa.Nilicho andika wewe soma kiache, wenyekuelewa wanaelewa mwishowe utakua kituko kujibu usivyo vifahamu.
 
"Jezi zitauzwa Tsh. 35,000 kwa jezi moja na zitaanza kuuzwa Februari 15, 2023. Wachezaji wataanza kuvaa tukienda kucheza na Horoya."- Ahmed Ally.

#WenyeNchi
#NguvuMoja
 
Yanga wamezindua jezi, tumeona mashati tu yaliyovaliwa na mamodel wa mchongo wakati jezi iwe imekamilika ni shati, bukta na soksi. Yanga hawana umakini katika mambo yao.
 
Hhehehehehe madekio.... hiii aibu mnoooo. Jezi za elfu sita sita hizi
 

Attachments

  • azamtvsports_1675790983009874.jpg
    azamtvsports_1675790983009874.jpg
    36.1 KB · Views: 2
Wewe bado mchanga, aya mambo inabidi nikae na wakina Mzee Kilomoni kidogo na wakina kaduguda wanaweza kuwa Wana nielewa.
Vitu vingine kama huvielewi ujue sio saaizi Yako wapo watu wanaelewa nilicho andika wewe soma viache, wenyekuelewa wanaelewa mwishowe utakukituko kujibu usivyo vifahamu.
Elezea namna mlivyo influence kwenye kuipatia nchi uhuru?

Hakuna mkoloni ambaye angekuwa convinced kwa namna yeyote na timu yenye watu ambao wanacheza mpira wakiwa peku

Inawezekana kabisa kuwa nyinyi ndio mliokuwa kero kwa nchi na ndio mlisababisha tuchelewe kupata uhuru kwa ushamba wenu
 
Yanga ndio wananchi hawaitaji kuji bland popote, walio anzisha TAA, TANU, CCM, SIMBA, RED STAR n.k ao wote wametoka katika viuno vya Yanga.
Yanga ata isipovaa jezi zenye nembo ya Visit Tanzania, uzalendo wa Yanga kwenye nchi hii haupimwi Kwa jezi Bali kupigania uhuru wa Tanzania na nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara. Harakati nyingi za ukombozi wa kusini zilifanyika pale Jangwani.

Simba ilizaliwa baada ya baadhi ya waliokua wanachama wa Yanga kurubuniwa wajiondoe kwenye timu(Yanga) Ili kusaliti vuguvugu la kupambania uhuru wa nchi hii.

Wahindi na waarabu ambao walikua watawala baada ya Mwingereza na raia daraja la pili baada ya mkoloni(Mwingereza)walitumika kuwarubuni wanachama ao waliokua wa Yanga Kwa zawadi ya viatu baadae jezi Ili wajiondoe ndani ya Yanga na walifanikiwa.

Baada ya kufanikiwa kujiondoa Yanga wakapewa viatu vya kuchezea mpira na kuanzishwa timu Yao iliyayo itwa queen [emoji146] Kwa kumfurahisha Mtawala mwingereza.
Yanga ndio nchi, Yanga ndio Wananchi, itabaki hivyo siku zote ndugu wasaliti mbumbumbu fc.
Kwahiyo wana yanga wote ni wana CCM? Akili yako muflisi sana
 
Japokuwa Simba damu, ila huyu vunjabei mkataba wake ukiisha, please hii zabuni apewe mtu mwengine angalau tupate taste mpya, mwamba anapwaya sana, ubunifu mdogo yani kinyonge sana ..
 
Back
Top Bottom