Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

good effort, tatizo ni umakini kwa simba bado!!
 
ochieng atolewe tu, mzito kama gunia
 
ngoma ya kitoto haikeshi aisee

wamefungwa goli la kujitakia
 
Mbona mnatuchanganya Mnyama kafufuka Bado 3 ndio nini yani Ngapi Ngapi 1-1? Simba Taifa Kubwa wacheni uoga Pigeni hao wakapate Kikombe kwa Babu.
 
Mbona mnatuchanganya Mnyama kafufuka Bado 3 ndio nini yani Ngapi Ngapi 1-1? Simba Taifa Kubwa wacheni uoga Pigeni hao wakapate Kikombe kwa Babu.
Hahaha 2-2
 
Just update tu maana uku nilipo sina update yoyote.
 
Dah mambo Gani hayo sasa Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nini bwana Ngurumeni bwana. msikubali Rushwa za Tajiri wao wa Mining. Kama mmehaidiwa kuchukuliwa hio timu toweni ndoto hiyo Ndoto ni kushinda kwendambele. alafu ndio mnasema tusishangilie timu za Ulaya? kweli huu ndio Mfano?.
 
Leo ndio leo fanyeni kama man utd wanavyoweza kurudisha magoli. Sasa mnahitaji ushindi wa 5-2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…