Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Popote ulipo mwny jina la ACCOUNT FULL, Hii inakuhusu! Ulisema tukiwafunga utaomba upigwe Ban ya wiki 1, So bila shaka unajua kinachoendelea, sasa Jiandae kwa hiyo BAAAN! Hahahaha simba bana
mpira haujaisha mkuu.., ingawa leo ni kama "sio sisi", naamin vijana wanaweza kurudi kivingine kama wakiamua.
 
Mbona unatetereka katika viapo vyako? Usihofu, kama Simba walisawazisha mabao matatu, kwa nini Yanga wasiweze kusawazisha na kuongeza la tatu!

Mhh...hawawezi kula matapishi
 
Hii X-mass ya mwaka huu ni kabambe aiseee!!!!

Simba rarua hao kanda mbili..
 
Popote ulipo mwny jina la ACCOUNT FULL, Hii inakuhusu! Ulisema tukiwafunga utaomba upigwe Ban ya wiki 1, So bila shaka unajua kinachoendelea, sasa Jiandae kwa hiyo BAAAN! Hahahaha simba bana
Ataungana na #KITOABU . Chezea Mnyama unyamani weye? Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…