Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)


ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
hivi sehemu zingine huwa Network inakubali, mimi huwa huu Uwanja ukijaa Network inasumbua sana.

Fanya mpango mkuu upate kibalii upande kule juu wanapokuwa watanzaji,kule net huwa iko poa!
 
Unategemea Kikosi gani kitakachoanza leo kwa upande wa Yanga?

KIKOSI CHA YANGA

1:Juma Kaseja,
2:Mbuyu Twite,
3:Luhende
4:Canavaro
5:Yondan
6:Chuji
7:Ngasa
8:Niyonzima
9:Kavumbagu
10😀ilunga
11:Okwi.

SUB:

1😀ida,
2:Juma Abdul
3:Oscar Joshua
4:Job
5😀omayo,
6:Msuva
7:Kiiza

Mkuu nawasilisha.
 

Mimi siwapendi ila Kaka wewe umezidisha, yaani Kaseja ndani Okwi ndani. Your prediction plz!!
 
Here's Young Africans line-up to face Simba SC today on "Nani Mtani Jembe"
1.Juma Kaseja - 29
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 3
4.Nadir Haroub "Cannavaro" - 23(C)
5.Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Athuman Idd " Chuji" - 24
7.Mrisho Ngassa - 17
8.Frank Domayo - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Hamis Kiiza - 20
11.Haruna Niyonzima - 8

Subs:
1.Deogratius Munishi "Dida" -30
2.Juma Abdul - 12
3.Oscar Joshua - 4
4.Rajab Zahir - 14
5.Reliants Lusajo - 9
6.Nizar Khalfani - 16
7.Saimon Msuva
8. Hassan Dilunga - 26
9.Jerson Tegete - 10
10.Emmanuel Okwi - 25
11. Said Bahanuzi - 11
12.Hamis Thabit - 22
 
Kila nikijaribu kuweka Picha inashindikana.
 
kwani mpira unaanza saa ngapi kwa hapa Afrika Mashariki?????????
 

Kwenye hicho kikosi nadhani Kaseja, Luhende, Canavaro, Chuji na Domayo wataturahisishia sana ushindi, naamini damu changa ya Mkude na Said Ndemla itatawala sana kiungo hivyo kurahisisha kumchanganya Luhende na Canavaro ambao wanapanic kirahisi, wakishapanic Kaseja hatakuwa na msaada kama alivyotarajiwa.
 
Kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi
ya Yanga:
1. Ivo Mapunda
2. Haruna Shamte
3. Issa Rashidi
4. Joseph Owino
5. Donald Mseti
6. Jonas Mkude
7. Haruna Chanongo
8. Henry Joseph
9. Hamisi Tambwe
10. Saidi Hamisi
11. Awadh Juma
Wachezaji wa Akiba:
1. Yaw Berko
2. Omary Salum
3. William Lusian
4. Ramadhan Chombo
5. Ramadhani Singano
6. Zahir Pazi
7. Amri Kiemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…