Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hizi mechi zina siasa zake. Unaweza ukakuta kuna mzee wa Yanga amegombana na kiongozi mmoja tu wa Yanga, basi anakimbilia kuharibu mambo!
Hapana Mkuu, ni mpira tu. Baada ya Simba kupata bao, Yanga tumepotea kabisa.