Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezi ikawa hivi wewe...!hii mechi imepangwa iwe hivii,simba atafunga magoli mawili kipindi cha kwanza ,Yanga watarudisha yote kipindi cha pilithen penati zitapigwa.hutaki unaacha
Huo UCHAFU huwa unafanywa na YANGA tu kuachia beki ifungwe whatever goals...kumbuka KASEJA ana kashfa kubwa ya KUHONGWA...(changanya za mbayuwayu)hii mechi imepangwa iwe hivii,simba atafunga magoli mawili kipindi cha kwanza ,Yanga watarudisha yote kipindi cha pilithen penati zitapigwa.hutaki unaacha
luhende mzuri mkuu, sema ndio hivyo tena, kosa limetughalimu.
Fungua STARTVJamani tbc wanaonyesha mpira wa bongo?
Mkuu ni aina gani hiyo ya kushangilia....?
Au ni aina ya kulia...?
nini tena bibie...Leo leo jmani
Simba damu. Biashara asubuhi.
Tulichomoa tatu. Chomoeni hizo mbili kama mnaweza.
Simba timu, funga YeboYebo 6-0.
Star tv ndo wanaonesha mpira huu leo.Jamani tbc wanaonyesha mpira wa bongo?
Matumaini yangu yamepotea kabisaaaaaaaaaaa
Uwezo huo hamna labda yule beki wetu mrefu Musoti na kiungo wetu Mkude waumie.mpira haujaisha mkuu.., ingawa leo ni kama "sio sisi", naamin vijana wanaweza kurudi kivingine kama wakiamua.
naona kama wachezaji wetu hawapo makini kabisa na hii mechi..mkuu
Simba damu. Biashara asubuhi.
Tulichomoa tatu. Chomoeni hizo mbili kama mnaweza.
Simba timu, funga YeboYebo 6-0.