Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
kapaisha kijingaPenalt!!!!!!!
Hatuchomoki mkuuHahahaa
Ebu mjipe moyo jamani washabiki
Uko sahihi mkuu, ona wachezaji hawana morari kabisa. Wanacheza bora liende tu. Wamemfanyia figisu kanavaro, wakanyang'anya ukepten kinyemela, leo eti wanambembeleza aje acheze mechi kama ya leo. Namsifu kwa kuwatosa. Malinzi muhuni sana.Udhamini si tatizo kubwa sana ... tatizo naona ni mfumo wa uandaji ni vigumu timu yetu kuchukua risk ya wachezaji wapya .... Serengeti huishia wapi?
Malinzi ni mpuuzi kabisa
Hahaaa hii kauli huwa inanifurahisha sanaHaikuwa penati halali
Kama kawaida uwendawazimu hautaisha mpaka mfumo wa uongozi tff ufumuliwe na kusukwa upya.Kichwa cha mwendawazimu charejea upyaaaaa !!!
Hawa mabeki wa Ndala bure Kabisa, anamkaba Mohamed Salah kama anamkaba Msuva kwenye mazoezi.Wakimataifa wapo humo?teh teh Masuke
hiyo chenga imetusaidia nini labda Mkuu,Samata kamla mtu chenga kama ya kideoni
Huyu boya katuharibia mpira kabisa .... bora wajitoe kama wenzao kutulindia heshima .... canavaro ananikumbusha walivyogawana kule Kenya bila kuzipeleka ZFAUko sahihi mkuu, ona wachezaji hawana morari kabisa. Wanacheza bora liende tu. Wamemfanyia figisu kanavaro, wakanyang'anya ukepten kinyemela, leo eti wanambembeleza aje acheze mechi kama ya leo. Namsifu kwa kuwatosa. Malinzi muhuni sana.