Live updates :Taifa Stars vs Misri leo tar 04:06:2016

Live updates :Taifa Stars vs Misri leo tar 04:06:2016

Hapo ndipo ifike time ya usimba na uyanga kuuacha 2tengeneze lg itayot0a wachezaj b0ra
 
Stars haiwezi kupiga hatua kutokana na uozo wa shirikisho la mpira Tanzania.
Mtakuja nielewa baada ya Taifa stars kutolewa.
 
Huyu kipa nae, yani anaenda kumpanga beki nyuma ya ukuta wake anaacha kumpanga kule ambapo hakuna ukuta, sarah kapiga huku anajua kabisa hili goal
Wala Kipa pale hajafanya makosa, kuna wachezaji walikua pale, wajamaa wa misri wakaenda kuwazonga kwa lengo la kukwepa mpira utakapopigwa na wao wakasogea kizembe tu., hujaona no 15 na yeye alikwepa mpira?
Bado vijana wetu hawaruhusu akili wawapo uwanjan!!
 
Ni kweli mkuu, yaan itatuchukua mda sana kuleta ushindani kwenye medani ya kimataifa, mpaka sasa vijana wetu hawaelewi wanafanya nini pale uwanjan, ni samatta tu anachukizwa na jinsi wanavyocheza na kukosa utulivu kweny final 3rd ya adui!!
Kama itawezeakana Maguri atoke kipnd hiki cha pili, so far hajasomeka!!

Nyie wengi wenu hamjui mpira ndio maana mnahamaki hamaki bila mpango, unatoa tasmini ya mpira baada dakika 90, na kutangulia kufunga sio kushinda. Lamaana ni kwamba vijana wanacheza vizuri na wanaonesha ushindani.
 
Hivi ni lini taifa star ikatufuta machozi, kila wakati ni maumivu tu
[emoji27] [emoji27] [emoji27] mweeeehhh
 
Kuna timu za kujipa moyo lakini siyo hii ya kichwa cha mwendawazimu.....
Mkuu binafsi nakuelewa sana japo watu wengi hawatokuelewa.
Ili mpira wetu usonge mbele ni lazima usimba na uyanga ufe, viongozi legelege aina ya malinzi wasipewe nafasi kuongoza mpira wetu, wadhamini kuongeza udhamini.
 
Nyie liveupdate vvilazakweli !.kabla ya kufungwam mmlikuwa mnasifia.,sasa mbapinda !???
Tuwe hapa pamoja kupeana updates.
=========================
KIKOSI CHA STARS LEO :
1. Deogratius Munish 'Dida'
2.Juma Abdul
3. Mwinyi Haji
4. Aggrey Morris
5. Erasto Nyoni
6. Himid Mao
7. Thomas Ulimwengu
8. Mwinyi Kazimoto
9. Elius Maguli
10.Mbwana Samatta
11.Farid Mussa
Akiba :
1. Aishi Manula
2. Mohamed Hussein
3. David Mwantika
4. Shiza Kichuya
5. Jonas Mkude
6. Deus Kaseke
7. John Bocco
Benchi la ufundi
Kocha. Charles Boniface MkwasaKocha msaidiz. Hemed Morroco
=========================
Here we go.....
=========================
HT :TAIFA STARS 0-1 MISRI.
 
Mkuu binafsi nakuelewa sana japo watu wengi hawatokuelewa.
Ili mpira wetu usonge mbele ni lazima usimba na uyanga ufe, viongozi legelege aina ya malinzi wasipewe nafasi kuongoza mpira wetu, wadhamini kuongeza udhamini.

Udhamini si tatizo kubwa sana ... tatizo naona ni mfumo wa uandaji ni vigumu timu yetu kuchukua risk ya wachezaji wapya .... Serengeti huishia wapi?

Malinzi ni mpuuzi kabisa
 
Kapten mpya kapaisha juuuuuu 😀
😀😀
 
Back
Top Bottom