LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

Okwi inabidi atulie anafanya pupa sana..
 
Yanga wamekosa goli la wazi hapa(wanachezea shilingi ch**ni)
 
Hizo 7 mbona zinachelewa sasa, au tutaenda kuwafungwa kwao?
 
Sasa kama hauko dar wakat uangalie nn?viwanja vyote vipo Dar mpira upo dar


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
ngoja nitupie na ile ya azam tv..
 
Dk ya 53 bado mabao ni bila bila kwa timu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…