ndio hivo mkuu.....mbao ni sifuri kwa sifuri
Jahazi la Gor Mahia linazama, dakika 63 Gor 1-2 Esperance.
ni kutulia na kusubiri tu maajabu picha mkuu...Sub nyingine kwa waarabu...mh bado pagumu.
Kuna mtu anasubiriwa ili apewe hiyo wiki!
kavimba mguu kafanya nini tena..Kavumbaguuuuuu.....maskini yanga!
Nani kawaloga yanga jamani....???
Mkuu tumesharudi toka Bunju tunaangalia soka la wazee wa epa!Yanga wapo isipokuwa Simba wameenda Bunju kulima uwanja wao.
Yanga tambo zilizidi mno!Yanga si wamuingize Tambwe magoli ah kumbe yupo kwa mnyama ah ah
Yanga mtafia cairo.