ndio maana ulikuwa nyuma ya keyboard mkuu..thnx God we won
ngoja nitupie na ile ya azam tv..
i like your avatar..
i like your avatar..
Kaka hongereni nikumbushe eti ni lini Yanga iliwafunga Waarabu hata hapa nyumbani...naanza kuona matunda ya kuchukua wachezaji waliowapaiga tano,akimchukua na Kapombe ,Kazimoto na Bobani aisee mbona mtatisha!Nashukuru Mungu Al Ahly hawajapata bao ugenini.
Yanga watakwenda kupigwa nne bila misri.
So beautiful.
Yanga watakwenda kupigwa nne bila misri.
Kazi tunayo sasa.FULL TIME:
Yanga 1-0 Al Ahly
===============
"MPIRA UMEKWISHA"
===============
Hilo Linajulikana, Yanga Michezo Yao Wanachezea Kwenye Magazeti
i like your avatar..