Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Mtakufa na pressure.
Hahahahaha baada ya wiki njoo hapa uongee tena hivi mkuu ndo ntakubali ila pressure itawauwa nyinyi wenyewe wazee wa jangwa mtapobugizwa goal kadhaa,mwarabu hajacheza mpira leo we mwenyewe unajua,ule sio mpira wao wale jamaa but kwa sasa jifarij kwanza then next wik kabla ya j.mosi ijayo kacheck afya mapigo ya moyo na vitu kama hivyo kabla hujaamua kufuatilia mechi ya marudiano maana Cairo hamtatoka.