Liverpool alishapangwa kuwa bingwa toka msimu mnaanza

Liverpool alishapangwa kuwa bingwa toka msimu mnaanza

Timu ya Liverpool pamoja na kuonekana kwamba imewapiga gap kubwa timu nyingine za EPL lakini ushindi wake katika baadhi umekuwa na utata mkubwa. Siyo upendeleo tu toka kwa marefa bali hata VAR yaani kote full upendeleo. Baadhi ya mechi ni Aston Villa , Man City , Leicester (Wakiwa nyumbani) hata hii mechi na Wolves nahisi itakuwa ni hivyo hivyo, EPL wawape kombe lao tu tumechoka upendeleo wa wazi...
Hata UEFA ilipangwa Liverpool wachukue!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom