Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hongera zaoo walistahili ila yule dogo anaicost timu mda wote utakosaje goli la wazi na pia unakaa na mpira mpaka adui anakuja kukupokonya hutoi pasi bora tu muacheni asepe aende anakotaka
akitoka hapo anataka mshahara upande
 
Hongereni sana wapendwa,mdogo mdogo mkijitahidi mnaweza kumtoa City, ila leo mlistahili mabao mengi,lakini hata hayo ni heshima.

Malafyale Ed n Edd nEddy Asprin na #LFC fans wote, Hongera sana Mr. Wise unajitahidi sana kuliweka active jamvi hili wakati wote.

Asante kwa Pongezi!!!Tuko pamoja kwenye hii burudani aiseee, nadhani sasa nafasi ya nne kutakua na Ushidani zaidi
 
2789B22200000578-3037578-image-a-68_1428958513240.jpg
 
27899E9700000578-3037578-image-a-81_1428959980839.jpg


Sterling's shot nestles in to the back of the net as a hapless Krul picks himself up from the Anfield turf


 
Hongereni sana wapendwa,mdogo mdogo mkijitahidi mnaweza kumtoa City, ila leo mlistahili mabao mengi,lakini hata hayo ni heshima.

Malafyale Ed n Edd nEddy Asprin na #LFC fans wote, Hongera sana Mr. Wise unajitahidi sana kuliweka active jamvi hili wakati wote.

Asante mtani kwa kweli nimesikitika kutomfukuza chizi na makopo yake .... Top four war inaendelea 😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
coutinho was brilliant and also nmependa lucas alvokuwa ana trace mipira, mechi ilikuwa nzur sana,:: entertaining football ya Liverpool hasa kwenye 1st half
 
Back
Top Bottom