punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
And you can alwaysYou can always have Demba Ba from Newcastle for only £35m.
Aliyenacho huongezewaMkuu, mimi nadhani without Suarez Liverpool will score more goals kwasababu there will be no one marksman!! na ile timu from inside right to the wingers is very fast aisee
I look at it as a challenge but the team will overcome, ni kama ile ya Torres ya last year
Wenye chuki nae ni wale mashabiki wa Fulham waliomzomea akawatukanaHaya wenye chuki na The Reds wafurahi! Suarez amefungiwa mechi moja na faini ya £20'000 kwa lile kosa la kuwaonyesha mashabiki wa Fulham 'kidole-kati' Kwa hiyo atakosa mechi ya keshokutwa tarehe 30/12 dhidi ya Newcastle.
NimemaanishaWenye chuki nae ni wale mashabiki wa Fulham waliomzomea akawatukana
Ni vizuri ukawa unaandika kitu ambacho una uhakika nacho, otherwise utaonekana kama just another Poo. Sikiliza, kesi ya Terry iko POLISI NA FA kwa wakati mmoja. Ilipelekwa polisi kwa sababu member of the public alitoa malalamiko polisi, iko FA pia kama ilivyokuwa ya Suarez. Uchunguzi/maamuzi ya FA yanaweza kuwa na effect kwenye uchunguzi/maamuzi ya polisi ambako criminal case imefunguliwa ndio maana unaona FA hawawezi kusema chochote mpaka kesi iishe mahakani. If anything, case ya Terry is worse! Hiyo £2,500 ni adhabu atakayopata mahakani, which means FA nao watakuwa na yao, pengine 8 matches kama Suarez au zaidi. Kila chombo kitatoa adhabu yake independently based on the rules/laws/regulations zao, huwezi kutoa hukumu mahakamani kwa kutumia sheria za FA, na vilevile FA haiwezi kutoa adhabu kwa kutumia sheria mama za nchi.
Umeelewa, au kichwa kimejaa POO?!! hahahaha, wazee wa "history" bana, taabu kweli kwenda na wakati!!
Nimekuelewa pa1 na kueleza hk ukikashif, ingawa sijui sheria ila sijawahi kusikia mtu anahukumiwa kupitia mamlaka mbili tofauti kama ulivyoeleza kwa kosa linalofanana, Haiwezekani ka Terry akikutwa na makosa mahakama imuadhib at the sm time FA nayo ije imuadhibu kwa kosa lile lile..
kwenye red nadhani umeshapata... suarez is brilliant ila anakosa communication na wenzake sometimes, ni mtundu kidogo... ningekua mimi ningempiga winger kama mechi nne hivi, angeappreciate kweli discipline ya striker kuwa predictable to his defendersUnahisi wakina nani wanaweza kusimama pale mbele?! Af kwa nini case ya Terry ipelekwe mahakamani af ya Suarez iamuliwe na FA?! Najua maamuzi kwa Terry hata akikutwa na hatia hawezi kuhukumiwa kimichezo! nimesoma BBC wamedai akikutwa na kosa adhabu yake ni £2,500
kwenye red nadhani umeshapata... suarez is brilliant ila anakosa communication na wenzake sometimes, ni mtundu kidogo... ningekua mimi ningempiga winger kama mechi nne hivi, angeappreciate kweli discipline ya striker kuwa predictable to his defenders
as for Terry, he is english... yataisha kama hayakuwepo, na ndio maana EPL inashuka jamaa ni wabaguzi sana
downing wouldnt make to my list, ni winger asiyejua kupiga chenga, wala henderson asingekua kwenye timu yanguNimekuelewa mkuu, Suarez abadilishwe ka ilivyokuwa kwa Kuyt acheze pembeni,.
Af huyu Downing ni mchezaji mzuri ana pace, control ila tatizo lake kubwa ni pass za mwisho na cross.
Kuhusu Carrol, KD akubali tu alichemka usajili wake, tatizo anatakaa kulazimisha ku prove wrong kwa Mashabiki ndo maana anampa airtime ya kutosha, ila nimeona dalili nzuri akicheza na Steven G
Usiwe na presha mkuu. Hao tutawatoa nishai tu.Next stop... MAN-SIX, BALAA
Hapo tunaomba mtusaidie tena,droo inatoshaNext stop... MAN-SIX, BALAA